ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 16,855
- 39,909
- Thread starter
-
- #261
unadhani watafanya nini?Asilimia kubwa ya watumishi ni mizgo na hawajilewi.
So sadKesi za Lissu ndio zinaonyesha tuna watumshi wa aina gani yaani
Wallah sijui hataMawazo yangu tu hayo hujanimbia Shenzii in maana gani?
Nishaandaa speech ya kuwaambia tu kwamba watumishi wenu ni mizigo viti na nafasi walizokalia haziwafai. Kobe hata siku moja hawezi akapnda juu ya mti na ukimkuta juu ya mti kabebwa.unadhani watafanya nini?
wameshika kwenye makali
So sad
Accepted 🤝Wallah sijui hata
Basi sikuiti tena soree
Umejipanga je lakini?Nishaandaa speech ya kuwaambia tu kwamba watumishi wenu ni mizigo viti na nafasi walizokalia haziwafai. Kobe hata siku moja hawezi akapnda juu ya mti na ukimkuta juu ya mti kabebwa.
🥰Accepted 🤝
Mbinu za mashambulizi huwa haziwekwi wazi ,Umejipanga je lakini?
Utakabiliana na matokeo?Mbinu za mashambulizi huwa haziwekwi wazi ,
Kwanini unaniambia haya mimi?Alafu huwa wanaifuatilia hii I'd yangu na hili ndio jina officially, elewa kwamba Watumishi w umma wengi ni mizigo na nafasi walizo nazo sio halal.
🤣🤣Ukhty Mkubwa 🧕
Maana nishakuwa mdogo ako tayari
Kuna uzi uliuanzisha ukawa unazungumzia mambo ya demokrasia na vitu kama hivyo. Nadhani imekuja kuingiliana na hapa baada ya kukwambiaKwanini unaniambia haya mimi?
Ahaa niliona pia comment yakoKuna uzi uliuanzisha ukawa unazungumzia mambo ya demokrasia na vitu kama hivyo. Nadhani imekuja kuingiliana na hapa baada ya kukwambia
Sina uhakika hapaHuu mtandao unahusishwa kama source / devices za ugaidi
So sadna ndio maana nikakwambia watumishi wetu wa umma ni mizigo.
Sawa fanya hivyoNinayeongoza kuwa laani ni Mimi hapa na nilishaandaa speech itakuwa published kufikisha ujumbe wenye kusaidia kufanyike namna katika utumishi wa umma
Haya Ukhty mkubwaSawa fanya hivyo
Usikose ku ni tag kijana mdogo
Umeenda kufanyia picha mafekechoo 🤣🤣 kijana jishikilie😎Haya Ukhty mkubwa
Sina hizo mambo Ukhty ,kusema nitapiga mnada 😅😅😅 na ndio maana hata access ya kupata mawasiliano naiomba hadharaniUmeenda kufanyia picha mafekechoo 🤣🤣 kijana jishikilie😎
Sawa mawasiliano utapata shekh kua mtulivu🤣🤣Sina hizo mambo Ukhty ,kusema nitapiga mnada 😅😅😅 na ndio maana hata access ya kupata mawasiliano naiomba hadharani
Haya basi Ukhty mkubwaNdio unataka kusemaje ?
Ni Shakira
Wewe leo ulikua unakagua tu 🤣🤣Uzi unaonesha watu wana cheat sana, Duuh.