Why Do You Cheat?

ShesRise_1

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2025
Posts
15,252
Reaction score
35,513
Mambo ya Malovee 😊

Sometimes watu walio penzini au kwenye ndoa hujikuta tu kwenye mtego wa cheating

Wengine huja na visingizio au sababu mbalimbali

Mwingine anasema, Sipewi hata nikiomba kwa chozi
πŸ˜€ Basi anajikuta amecheat

Mwingine anasema, Mume haniridhishi
Akipiga kimoja cha kuku, anakoroma mpaka asubuhiπŸ™„

Mwingine anasema,
Nilitaka kupata experience

Kuna rafiki yangu aliolewa akiwa bikra

Kadiri alivyokuwa akikaa na kusikia wanawake wakihadithiana mambo ya jigijigi, na ukizingatia mume alikuwa na maudhi, akaamua kutaka kupata experience huko nje

Japo anasema hakuna furaha yoyote aliyopata zaidi ya kujutia tu

Sasa wewe unadhani cheating inasaidia au inabomoa kabisa pale penye ufa?

Nini kilikufanya uka-cheat?

Unajutia?

Umeacha au bado unaendelea?

Huwa hujisikii vibaya ukimcheat wa ubani?

-Au hujawahi kabisa?

Friday night πŸ€—
ShesRise_1 βœ‹οΈ
 
Shenziiiii zako
Unataka kusema je hebu sema simwambie mtu πŸ€ͺ
Nimekoma.
Wacha nitoke zangu nikajipumzishe mahali na πŸ·πŸ·πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…maana tangu Jana nilikuwa na kazi nzito 😝

Natoka huku nikiwa nasikiliza huu wimbo hadi Moshi Pazuri.

[Hook]
Tunatumia pesa pesa pesa
Tulitafuta pesa pesa pesa
Tukazipata pesa!
Ah! tumekuja kutesa, kuimba na kucheza
Aah tunatumia pesa pesa pesa
Tulitafuta pesa pesa pesa
Tukazipata pesa!
Eeh (let’s go!) tumekuja kutesa, kuimba na kucheza.

πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
 
Nimekoma.
Wacha nitoke zangu nikajipumzishe mahali na πŸ·πŸ·πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…maana tangu Jana nilikuwa na kazi nzito 😝
Wewe nakugawa mazima na sitaki nirudishiwe πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ™Œ
πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ nimeelewa darling mambo ya dollars πŸ˜…
 
Dear daughter punguza masimango
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…