Women by nature ni wavumilivu lkn wakifikia point ya kucheat kwenye relationship au marriage tunasema - when a woman is fed up! Men may cheat for the thrill or chase, lkn ni tofauti kabisa na mwanamke. Lakini pia kuna wanawake ambao ni tabia tu...wasipofanya hivyo hawana raha au kukamilika,
Kuna mdada in 1 year (na alikuwa na BF), alikuwa na statistic ya karibu wanaume 6, na sideline BF anamsubiri.....sorry and she had a hubby as well who decided to save his soul, he walked out.
Na ukweli ni kwamba most of such women are the ones men run after (20th Century fool...)