Wanafunga macho kwa sababu wanaogopa na wanajua wanachofanya ni against God's will!! Refer kipindi adam na eve walipojificha baada ya kugundua wamekosea!!
Wengine wanafunga kwa sababu wanaogopa kushuhudia kosa wanalofanya!!
BTW kwa mtindo huu wa kuwaza kiss asubuhi hii TANZANIA YA VIWANDA SI ITABAKI KUWA WIMBO WA WANASIASA???