Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Ingekua ni kitu cha kawaida biblia isingesema tuikimbie zinaakuchepuka kitu cha kawaida sema mnakichukulia kama kesi ya mauaji vile wakati mtu kaenda kusitiri maungo tu
Ingekua ni kitu cha kawaida biblia isingesema tuikimbie zinaakuchepuka kitu cha kawaida sema mnakichukulia kama kesi ya mauaji vile wakati mtu kaenda kusitiri maungo tu
Kwako ndo necessary. ..and fanya tu mpendwa, mie ni nani hadi nikukataze?it is a necessary evil
Mmh kwani hawajui sasa?Ingekua ni kitu cha kawaida biblia isingesema tuikimbie zinaa
Azinie na mwanamke hana akili.
Si maneno yangu,bible ndivo isemavyo
Mi nawashangaa hawa wanaume wa sasa,baadhi yao imekua fashion na wanaona fahari sana kujisifu kwa uchepukaji
Inaonekana ni rahisi sana kunyoosha vidole kwa wanaume, ila ni ngumu sana kujinyooshea vidole. Poleni sanaHahah tunaambiwa sasa hivi kuwa tunajifanya watakatifu. But truth be told, waache upuuzi wa kuona ni fahari na lazima kuchepuka. Consequences wanazijua vizuri tu ila kujiendekeza sasa
Tumeshapoa, pole na kwako pia. BTW thread imewaongelea wanaume, na always mnakuwa na justifications mia kidogo. Wanawake pia tunacheat, but sijawahi ona wanawake wakipewa excuse za kucheat as kwa wanaume ilivyo.Inaonekana ni rahisi sana kunyoosha vidole kwa wanaume, ila ni ngumu sana kujinyooshea vidole. Poleni sana
Acheni kuchepuka.Inaonekana ni rahisi sana kunyoosha vidole kwa wanaume, ila ni ngumu sana kujinyooshea vidole. Poleni sana
Mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyeweTumeshapoa, pole na kwako pia. BTW thread imewaongelea wanaume, na always mnakuwa na justifications mia kidogo. Wanawake pia tunacheat, but sijawahi ona wanawake wakipewa excuse za kucheat as kwa wanaume ilivyo.
Mi nafikiri na nyie muache kuchepuka. Acheni tamaa. Ndio maana makabila mengine yanafanyia wanawake tohara ili mtulieAcheni kuchepuka.
Kuchepuka sio ufahari
Si kiranga chao kuwafuata?! wakitulizana na wake zao watarogwajeKibongobongo some men cheat mana wanarogwa na nyumba ndogo
Sawa na nyie vitulizeni hivo vinaniliu vyenuMi nafikiri na nyie muache kuchepuka. Acheni tamaa. Ndio maana makabila mengine yanafanyia wanawake tohara ili mtulie
Vinasimama vyenyewe. Na nyie mpunguze kuwashwa huko chiniSawa na nyie vitulizeni hivo vinaniliu vyenu
Hahaaaa ushajikatia tamaa bibieMi achepuke tu mradi asilale nje
Acha hizo mkuuBcoz its man nature's
Ni idea tu mzeeAcha hizo mkuu
Sasa vikisimama ndio mchomeke kila shimo?Vinasimama vyenyewe. Na nyie mpunguze kuwashwa huko chini