Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
mkuu,
waziri gani huyo aseee??
Teh teh teh mkuu hii mbona inaongelewa sana kwenye media lakini nashangaa watu hapa hawajaitundika jina bado watu tumelikalia.
mkuu,
waziri gani huyo aseee??
nakubaliana na wewe lakini wakati mwingine unaweza choka kufanya hayo maombi , mana unaona limtu kama linafanya makusudi vile, mie nilichokaga kumuombea nikawa najiombea mwenyewe tu lakini baada ya muda likabadilika, sasa cjui yale maombi ndio yalifanya kazi baada mie kujichokea.
Teh teh teh mkuu hii mbona inaongelewa sana kwenye media lakini nashangaa watu hapa hawajaitundika jina bado watu tumelikalia.
DUH, HII KALI, sipati picha **** moja kubwa kwenye kiti cha mbao atakaaje!!
hahaaa tehteheee
Hahahaha Nyamayao umesikia mke wa waziri kaongeza makalio si likaongezeka moja jingine likawa vile vile alifanya hivyo baada ya kuona Mr. wake kila kimada anacho tembea nacho kimefunga mfadhaiko nyuma aka wowowo na yeye akaongeza sasa serikali ina mpango kumsafilisha kwenda kumtibia. Ndo hivyo nyumbani mtu huwezi pata vyote.
..........Mwe!
Umenisababishia machozi kwa kucheka!
Hahahaha huyo ndo mke wa waziri katika serikali ya awamu ya 4 hehehe alitumia dawa za Kichina kwa hiyo kalio mmoja limeumuka jingine au la upande mwingine lipo kawaida kwa hiyo anakaa kama amekata spring.
ndio mami, unabaki unalipiga maombi weee limtu limekujia saa 6 ucku, kesho yake asubuhi, ni bora nijiombee mwenyewe.
Hahahaha huyo ndo mke wa waziri katika serikali ya awamu ya 4 hehehe alitumia dawa za Kichina kwa hiyo kalio mmoja limeumuka jingine au la upande mwingine lipo kawaida kwa hiyo anakaa kama amekata spring.
[/COLOR]
hiyo kali.... sasa shida zote hizo za nini?
Nakwambia na ndo mana wakasema ndoa zina kazi si lelemama hata kidogo!.
asee mkuu hebu ni-PM bana nimjue huyo bibie!.
Mh Fidel akikuPM naomba uniPM na mimi ....!
Kwani hujui mke wa waziri alitaka kuwa na wowowo tukunyema dah ndo hivyo dawa za kichina zikamuumbua limeongezeka moja jingine lipo vile vile hebu niambie akikaa inakuwaje?
teh teh teh mpwa hili jina la waziri sitoi mpaka mnitafutie demu.
Mh Fidel akikuPM naomba uniPM na mimi ....!
teh teh teh mpwa hili jina la waziri sitoi mpaka mnitafutie demu.
haina kwere mpwa!, ila jamaa mpaka sasa anabana!
haihitaji maneno miiingi;
Married But Unsatisfied...
wanawake kwawanaume wa kileo hatujali social stigma iendayo na kuvunja viapo vya ndoa. Yaliyoonekana aibu katoka jamii miaka hiyo sasa yamegeuzwa 'sifa' za kujivunia!
Jambo la kujiuliza kwanini wanandoa wengi miaka hii hawana furaha/ridhiko na ndoa zao?
Nini kinachangia? matamanio ya wanandoa yanazidiwa na matarajio?
Kabla ya kuwalaumu 'Serengeti Boyz na nyumba ndogo', Waliofungana pingu za maisha lazima waubebe msalaba huu na kusulubiwa kwanza.