Wholly unacceptable!!

Its called insulting people's intelligence.
 
Hongera mama Samia .
Vijana wa Gen- Z , na watanzania hongereni lakini kwa sasa turudi kujenga nchi.
Uchaguzi ushakwisha mpaka 2030.
Mlioshinda iwe somo la wapi mliteleza na kutimbinganya murekebishe.
Wananchi ndio wenye nchi, muwasikilize malalamiko yao.
Wapinzani sio maadui, muwatoe magerezani na udwanzi wa kutekana ukome.
Katiba mpya ya warioba irasimisheni ili kuepusha madhara makubwa zaidi baadae.
Mungu ibariki Tanzania.
 
Wewe ni tahira
 
Wewe ni tahira
Upo sahihi mkuu, tangu tarehe 29 sijafanya biashara yangu ya kuchuuza mihogo hapa sokoni, akiba yangu yote imekwisha. Watoto na familia huko Kijijini wananiniangalia mimi ndio taita wao.
Sasa hivi njaa ndio namuogopa zaidi kuliko yeyote.
Sasa haya mauzauza yakiendelea kwa mfano miezi mitatu tu tutakulana nyama wenyewe kwa wenyewe.
Uchaguzi ushakwisha mpaka 2030 tukiwa bado hai.
Aliyoyapanga mungu yashakuwa, hata wakiondoka hawa mamlakani watakaokuja nao watafanya kama haya au makubwa zaidi ya haya.
Bora Amani tu nikachuuze mikasava yangu watoto wafurahi, vilio vya watoto hapa maskani vishanitia wazimu.
Mungu ibariki Tanzania
 
Eti ni judge katangaza kweli wasomi wa Tanzania is something! Hata kama huna akili hata machale tu huna? Japo uunde uongo ufanane na chembe ya ukweli? Hata Yesu asingepata 98% kwa namna yoyote, tunajiunda kuwa pariah wa dunia yani
 
Tunashukuru Mungu nchi imepata Rais, na maandamano yameisha. Sasa ni Rais kuapishwa, kuunda serikali na itakayowatumikia watu wote kwa bidii...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…