Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,683
Ambao wanakufa kwa mamia kila siku?Mungu wabariki Wazungu
Ambao wanakufa kwa mamia kila siku?Mungu wabariki Wazungu
Lakini wanawahurumia wasiokufaAmbao wanakufa kwa mamia kila siku?
Mbona mie masikini na siteseki?Wanaoteseka ni Watanzania masikini
Sidhani huu utopolo hawezi kuuandika kwa USA maana wao wamefuata maelekezo na hakuna maambukizi kabisa.The rapid rise in coronavirus cases in Tanzania is partly a result of the government ignoring the international medical recommendations on social gatherings etc, says Dr. Moeti, the Africa director for WHO, at a briefing today.
In Tanzania, the number of confirmed coronavirus cases has increased by more than 500% in the past 10 days. That's one of the worst rates of increase in the world. No wonder the WHO is concerned.
The information from the WHO is actually not "finger-pointing" -- it's an attempt to show that international experts disagree with the Tanzanian government's strategy. Tanzanians have a right to know about this, so that an informed debate can happen.
Corona siyo siasa, watu wanafiwa na wapendwa wao na hawatawaona tena millele, wewe unasema tu, kuna siku hatutaona post zako hapaHizo nchi na serikali zao ambazo zinafuata ushauri wa wataalamu wanaendeleaje na kasi ya maambukizi??
Hivi ni kwanini Baba anavipenda na kuviamini sana vyombo vya dola na watu wa sector hiyo kuliko Sector ya Afya na watu wake kwenye majanga kama haya?The rapid rise in coronavirus cases in Tanzania is partly a result of the government ignoring the international medical recommendations on social gatherings etc, says Dr. Moeti, the Africa director for WHO, at a briefing today.
In Tanzania, the number of confirmed coronavirus cases has increased by more than 500% in the past 10 days. That's one of the worst rates of increase in the world. No wonder the WHO is concerned.
The information from the WHO is actually not "finger-pointing" -- it's an attempt to show that international experts disagree with the Tanzanian government's strategy. Tanzanians have a right to know about this, so that an informed debate can happen.
Sawa kabisa subiria uteuziNa Kenya yenye wagonjwa 300+,south Africa yenye wagonjwa 1000+ wenyewe wanafuata maagizo? Huyu beberu ni wa kupuuzwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ria wa kwao na mabeberuHiyo Tweet ni ya Raia wa Nchi gani ambaye yupo concerned mno na sisi kuliko huko kwao ambako madhara ni makubwa zaidi??
Bora wakupe ukuu wa wilaya upumzike kuwa mpumbavuHao mabeberu waache kuingilia mambo Yetu ya Ndani
Hivo hivo hata ww ipo siku hatutaziona hiz reply zako...Corona
Corona siyo siasa, watu wanafiwa na wapendwa wao na hawatawaona tena millele, wewe unasema tu, kuna siku hatutaona post zako hapa
Utamhurumiaje asiyekuwa na tatizoLakini wanawahurumia wasiokufa
For the 1st time, Europe, Asia and America are learning their lesson from a 'tiny' country is East Africa.
Europe has the confidence to reopen their economies from the case studies they have secretely taken from countries like Tanzania.
Kenya for example, has a confidence to open school abrubtly from a lock down using Tz as their case study on impossibilty of adverse effects of reopening.
Tanzania the 1st time, has shown a leadership to the World on how to live with a deadly snake in the room without a single snake bite!
The rapid rise in coronavirus cases in Tanzania is partly a result of the government ignoring the international medical recommendations on social gatherings etc, says Dr. Moeti, the Africa director for WHO, at a briefing today.
In Tanzania, the number of confirmed coronavirus cases has increased by more than 500% in the past 10 days. That's one of the worst rates of increase in the world. No wonder the WHO is concerned.
The information from the WHO is actually not "finger-pointing" -- it's an attempt to show that international experts disagree with the Tanzanian government's strategy. Tanzanians have a right to know about this, so that an informed debate can happen.