Who is the next target?

My guess! Up next TISS, POLISI, MALIASILI, MAKAMPUNI BINAFSI A WAHINDI (A to Z; Sunflag etc) ambako licha ya vitendo vya kukwepa kodi wahindi n wachina wanagenisha ajira za wazawa na wamewageuza ndugu zetu wazawa kuwa manamba katika nchi yao!



 
CAG aliyekuwa madarakani mpaka karibia na uchaguzi ndugu Ludovick Uttoh ameshastaafu. sasa sijui wataenda kumtumbua huko huko rombo? maana aliyepo sasa hivi Prof. Asad hana hata mienzi miwili na nusu.

CAG hawezi kukwepa uozo huu,

 

CAG amelindwa vema na katiba, rais hana mamlaka ya moja kwa moja kumfukuza, there is a long process kumuondolea cheo chake. Ibara ya 144 ya katiba inaweka utaratibu wa kumuondoa CAG ambao ni mgumu.
 
Ficha ujinga wako wewe mpuuzi

TPA Inakaguliwa na CAG kupitia kwa PWC

Unaifahamu PWC Wewe?
 
Matumizi katika uchaguzi wa mwaka huu hayajapata kutokea. Vyama lazima vichunguzwe ...pesa za kampeni zimetoka wapi.
matrilioni yaliotumika lazima ifahamike chanzo chake. CAG na msajili wa vyama wanatakiwa wawajibike kwa hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…