Mh.rais Magufuli anaendelea kutumbua majipu yanayoisababishia hasara nchi kwa namna moja au nyingine.
Baada ya kutumbua majipu TPA,TRA,TAKUKURU etc ,next target ni upi/yupi ili tupunguze kustuka?
To me,CAG is the one maana audit za TPA na TRA lazima zitamgusa kwa namna moja ama nyingine.
Je,wewe mdau unafikiri/natamani nani awe kwenye 18 za mtumbua majipu,Dr.Magufuli?