Nimroda Mkono ana mkono katika mengi sana yanayotuliza bila kituo ndani ya nchi hii.
Laiti ufalme wa mbingu ungekua unanunulika ndugu Mkono angediriki kufanya mazingaombe zake hata pale pale getini kuelekea paradiso. Nadhani cha msingi kwake huenda ikawa ni pesa zaidi, professional ethics na uzalendo baadaye.
Lakini bado ni rafiki wa mahakama, kipenzi cha HAKI na msomi wa hali ya juu vile vile japo kwa kodi ya wakulima.