Who is Benno Malisa?

Who is Benno Malisa?

Tuko

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
11,180
Reaction score
7,354
Taarifa za kiintelijensia hazionyeshi kama anatokea familia ya 'kifisadi'. Inasemekana alikuwa msanii tuu, tangia anasoma Marangu sec hadi UD, na aliwahi kushiriki utapeli wa kutoa scholarship hewa, ili kukusanya application fees.

Sijui ndani ya usanii huo alifanikiwaje kujipenyeza ndani ya CCM, na kuukwaa amakamu wenyekiti wa UVCCM.

Kinachofanya nidadisi taarifa zake, ni kutokana na siku za karibuni huyu kijana kushiriki kikamilifu katika njama zinazoonekana kuwa ama kwa makusudi, au kwa kutojua ni za kuiua UVCCM.

Yule Bw mdogo Sabato juzi aliwaambia live kuwa wanaonekana live kuwa wananunuliwa. Kwangu mimi kununuliwa sio tatizo, tatizo ni pale unaponunuliwa kuiangamiza nyumba unayoishi. Hivi ikishaangamia utaishi wapi?

Benno ni tofauti na akina Ridhiwani, Bashe, Nnauye n.k ambao wanajua kabisa kuwa wana maisha mapaaaana, nje ya UVCCM. Lakini huyu kijana anajiamini nini? maana inavyoonekana, kitendo cha kuinadi UVCCM kwa mafisadi kwa bei nafuu kiasi hicho, lazima mtu uwe 'umeaga kwenu'...

Hebu wenye kumfahamu huyu kijana na kinachomfanya ajiamini watujuze... ni pesa, ni kazi nzuri, ni elimu kubwa... au ni nini?
 
WATANZANIA INABIDI WAAMUE KAMA KWELI UVCCM BADO INAWATETEA WAO AU MAFISADI. SASA HIVI SEKRETARIETI YOTE YA UVCCM NI MALI YA MAFISADI (kIMARYO, 2011; MAKONDA, 2O11 (ANGALIA MWANANCHI, MACHI 23, 2011) Kimaro: UVCCM ni bua lililokauka).

NI UMOJA WA VIJANA CHADEMA KWA SASA NDO WANAMUITIKIO WA KUWAAUNGANISHA VIJANA NA WANANCHI WA TANZANIA KULETA UKOMBOZI WA KWELI NA UTU WA MTANZANIA AMBAO SASA UMEUZWA KWA MAFISADI PAPA.
 
Huyu Benno ni mtoto wa Kamishna wa Magereza mstaafu,Comm.Onell Malisa.Nguvu yake inakuja tokana na urafiki wa karibu wa mtoto wa Mhe.Raid,Ridhiwani kwani inasemekana ni washkaji saaaana katika ile style ya Kikwete na Lowassa ya ''Hatukutana bara barani bali urafiki wetu una chimbuko kubwa".Amesoma UDSM LL.B nadhani mwaka 2005 class,correct me if i am wrong.Ni kijana aliyejizatiti lakini ndo hivyo anafuata matakwa ya wakubwa.Inasemekana ni mtu wa karibu na Mhe.Lowassa mtarajiwa wetu wa 2015??
Ili kuwa autwae uenyekiti wa UVCCM kipindi kile 2008 lkn alifungwa breki na Mkiti wa CCM Taifa baada ya maamuzi kua nafasi hiyo iende Visiwani..
 
Tuulize sisi tukwambie huyo Kiongozi wako Mbowe enzi zake wakati anafukuzia wanadada pale kwenye lango la Jangwani. Mbona sasa Mwenyekitu.

lazima ujuwe watu ubadilika
 
Tuulize sisi tukwambie huyo Kiongozi wako Mbowe enzi zake wakati anafukuzia wanadada pale kwenye lango la Jangwani. Mbona sasa Mwenyekitu.

lazima ujuwe watu ubadilika

au wale mabaa medi pale BOMA LA NG'OMBE
 
Huyu Benno ni mtoto wa Kamishna wa Magereza mstaafu,Comm.Onell Malisa.Nguvu yake inakuja tokana na urafiki wa karibu wa mtoto wa Mhe.Raid,Ridhiwani kwani inasemekana ni washkaji saaaana katika ile style ya Kikwete na Lowassa ya ''Hatukutana bara barani bali urafiki wetu una chimbuko kubwa".Amesoma UDSM LL.B nadhani mwaka 2005 class,correct me if i am wrong.Ni kijana aliyejizatiti lakini ndo hivyo anafuata matakwa ya wakubwa.Inasemekana ni mtu wa karibu na Mhe.Lowassa mtarajiwa wetu wa 2015??
Ili kuwa autwae uenyekiti wa UVCCM kipindi kile 2008 lkn alifungwa breki na Mkiti wa CCM Taifa baada ya maamuzi kua nafasi hiyo iende Visiwani..

Ok. Lakini sasa kwa nini hatumii akili! Akajua kuwa nguvu ya Ridhiwan inaishia 2015? Haihitaji mtu kutumia hata 1% ya uwezo wako wa kufikiri kujua kuwa Ridhiwan hana future kwenye politics kwa sababu ana uwezo mdogo kiujanja...
 
Tuulize sisi tukwambie huyo Kiongozi wako Mbowe enzi zake wakati anafukuzia wanadada pale kwenye lango la Jangwani. Mbona sasa Mwenyekitu.

lazima ujuwe watu ubadilika

ndiyo wale wale wakurupukaji wa kutoa matamko
 
Tuulize sisi tukwambie huyo Kiongozi wako Mbowe enzi zake wakati anafukuzia wanadada pale kwenye lango la Jangwani. Mbona sasa Mwenyekitu.

lazima ujuwe watu ubadilika

this is out of point. Atleast we get chance to know you that you are among the gays who are paid to to misdirect us from discusing the issue to crap! Poor you
 
this is out of point. Atleast we get chance to know you that you are among the gays who are paid to to misdirect us from discusing the issue to crap! Poor you

du...! kumbe huyu jamaa ndiyo kama hapo kwenye red
 
au wale mabaa medi pale boma la ng'ombe

kijana sijui binti yani ndo umeingi jana tu hata hodi hujapiga halafu unaanza direct na pumba?yaani umenishangaza sana au ni under age?
 
Kwa upande wangu, this guy is good. What he's doing is perfect! Chama chao kinaelekea ukingoni na ilishatabiriwa kuwa watakaokimaliza watatokea humohumo. Kwahiyo anachofanya Beno Malisa ni kutimiza utabiri! Anafanya vizuri kwasababu ili nchi hii iendelee, ccm lazima iondoke madarakani! Keep on keeping boy!
 
Ok. Lakini sasa kwa nini hatumii akili! Akajua kuwa nguvu ya Ridhiwan inaishia 2015? Haihitaji mtu kutumia hata 1% ya uwezo wako wa kufikiri kujua kuwa Ridhiwan hana future kwenye politics kwa sababu ana uwezo mdogo kiujanja...
Zaidi ya 2015 kwani Benno hiyo 2015 ana mpango wa kusimama Ubunge aidha Moshi Vijijini ama jimbo lolote lile.Yeye ni wa Moshi Vijijini.Baada ya hapo atakua kwenye duru la siasa za wakubwa yaani Bunge,Cabinet etc so watch out for this guy.He is not dumb as to say but he hugs the next leaders the like of Lowassa etc...
 
this is out of point. Atleast we get chance to know you that you are among the gays who are paid to to misdirect us from discusing the issue to crap! Poor you

Jaribu kuwa makini na lugha ya watu; gay na guy ni maneno mawili tofauti. Gay ni tusi kubwa ndugu yangu. And what is discusing the issue? Perhaps you meant discussing the issue.
 
Jaribu kuwa makini na lugha ya watu; gay na guy ni maneno mawili tofauti. Gay ni tusi kubwa ndugu yangu. And what is discusing the issue? Perhaps you meant discussing the issue.

I know what I'm doing!
 
Zaidi ya 2015 kwani Benno hiyo 2015 ana mpango wa kusimama Ubunge aidha Moshi Vijijini ama jimbo lolote lile.Yeye ni wa Moshi Vijijini.Baada ya hapo atakua kwenye duru la siasa za wakubwa yaani Bunge,Cabinet etc so watch out for this guy.He is not dumb as to say but he hugs the next leaders the like of Lowassa etc...

Hata mi nilidhani kuwa siasa ndo alochagua kuwa shamba lake... Lakini namna alivyoi-handle siasa, completely kaingia choo cha kike!!!!!
 
Benno Malisa amesoma na Ridhiwan degree ya sheria UDSM, wamemaliza wote mwaka 2005.
Hawa jamaa wawili hawakuwahi kuwa marafiki mpaka point ambayo Ridhiwan aliamua kugombea upresident wa faculty ya sheria sometimes mwaka 2004.

Ghafla Benno akajitokeza na kupromise kumpigia kampeni, Ridhiwan alikuwa hakubariki kabisi kwa sababu upstares ni maji kabisa, yaani wakati watu mnadiscuss serious issues achelewi kuongea pumba, very irressiblly indeed. Benno ni talkative (pumba lakini, he does not wait to have evidence, anazungumza saaaana, yaani ni best MC material, ni mbishi anamatusi mdomoni usiombe, hana aibu hata kidogo na anapenda kuuza sura sana). so ridhiwan akapata kampeni manager.

Ridhiwan akashinda na kama kawaida ya watoto wa JK, I am sure Benno alipata access ya seating room ya Jakaya and so Benno is there.
 
Back
Top Bottom