Who created ISIS?

Status
Not open for further replies.
Kumbe Paulo anawanyima usingizi namna hii? Aiseeh

Sasa naelewa kwanini nyie mliitwa Ngumbaru na Allah wenu. By the way, Allah created Hell for himself and Muhammadans.
Kichaa wa wakristo ananichekesha sana, sijui aliandika Bibilia yake amelewa, mara anasema Yesu alikuwepo kabla ya Adam, afu anakuja tena kusema Yesu alichukuliwa katika mbegu ya Adam Ebr. 2:16

Hebu wacha tuwacheke tena , msikie huyo Kichaa wenu anasema nini.

Katika Yohana 2:1- 4, Yesu anaonyesha kukosa adabu kwa mama yake.


Aaa kumbe Yesu alikuwa hana Adabu, kweli Bibilia za kichaa ni kichaa tu ndio wanaziamini.
 
Nkobe, kinachonishangaza nikuona hata nchi za magharibi zipo kimya na mpaka sasa hawajachukua hatua yoyote . Hawaja washambulia kama walivyo washambulia Taliban Kyle Afghanistan . Tusubiri na tuone muda utatuambia.

spazzaneve
 
Nkobe, kinachonishangaza nikuona hata nchi za magharibi zipo kimya na mpaka sasa hawajachukua hatua yoyote . Hawaja washambulia kama walivyo washambulia Taliban Kyle Afghanistan . Tusubiri na tuone muda utatuambia.

spazzaneve
Kumbe we bado huji siasa za nchi za magharibi, wao wkaiona waislam wanauwana ndio wanafurahi sababu wao ndio wamewagombanisha kwa kusema huyu ni Shia na huyu ni Sunni. Ukiona wanaingilia basi ujuwe kuna wakristo katika nchi hizo watauliwa na wanaogopa wasipungue. Mataifa y amagharibi wao ni kuhakikisha nchi za kiIslam haziendelei na uislam usikuwe. Lakini wa weke akilini USA and her allies will ever defeat Islam.

Waislam ni mahadori wa ku recruiting an army of soldiers willing to give their most precious belonging, life. Fighting them is an utter impossibility.
 
 
Last edited by a moderator:
@ francoo1

kuna videos kibao...documentaries nyingi tu....BBC,CNN,RT,ALJAZEERA na mashirika mengineyo makubwa ya habari juu ya ukuaji huo ...nisikutafunie kila kitu ingia YOUTUBE mwenyewe....tukiweka hapa mwishowe thread hufungwa...

ila ukweli ndo huo...kasi tena si kasi ya kawaida ni "supersonic"
 
Nkobe, kinachonishangaza nikuona hata nchi za magharibi zipo kimya na mpaka sasa hawajachukua hatua yoyote . Hawaja washambulia kama walivyo washambulia Taliban Kyle Afghanistan . Tusubiri na tuone muda utatuambia.

spazzaneve

Nchi za magharibi ni wanafiki. wanasubiri amerika aanze nao watafuata nyuma. Yaani ile vita ya pili ya dunia ilipokwisha jamaa walijikabidhi wazimawazima kwa USA.
 

Mkuu, umetoa reference zako nyingi nchi za ulaya huku ukiwa umesahau kwamba sa ivi hao wazungu hawazaani na population yao inapungua na wakati huo huo waarabu ambao wako ulaya wanazaana sana kwa sababu ya utamaduni wao, population ya watu sa ivi iko Africa na asia, mbona hujatoa reference zako kwenye nchi zenye watu wengi kama china?

Ukristo sasa hivi unakua sana Nchi za Asia na Africa kwa kasi kubwa, kwa mfano Africa uislam ulikuja mapema kabla ya ukristo lakini subsaharan countries zina wakristo wengi kuliko waislam kwa sasa. sasa uislamu ungekua unakua kwa spidi hiyo uliyotaja hapo juu si bara zima la africa lingekua na waislamu? ilikuaje sasa uislamu uingie kwa kwanza africa halaf ushindwe kufua dafu mbele ya ukristo uliokuja africa hapa juzi juzi tu?

KWA HIYO HAITATOKEA SIKU UISLAMU UKAUZIDI UKRISTO HAPA DUNIANI INTERMS OF POPULATION AND WORSHIPERS

CHUKUA HIZI REFERENCE MKUU

REFERENCE YA KWANZA
Christianity may be declining in the West and Islam is surging, but in the world as a whole, it's a different story. So says Ryan Mauro:...
READ MORE THIS LINK Islam losing ground to Christianity?

REFERENCE YA PILI
Some experts predict the shift of Christianity's center from the European industrialized nations to Africa and Asia in modern times. Yale University historian Lamin Sanneh stated that "African Christianity was not just an exotic, curious phenomenon in an obscure part of the world, but that African Christianity might be the shape of things to come."[SUP][15][/SUP] The statistics from the World Christian Encyclopedia (David Barrett) illustrate the emerging trend of dramatic Christian growth on the continent and supposes, that in 2025 there will be 633 million Christians in Africa.

Only nine million Christians were in Africa in 1900, but by the year 2000, there were an estimated 380 million Christians. LINK NI Christianity in Africa - Wikipedia, the free encyclopedia

LINK YA TATU
China on course to become 'world's most Christian nation' within 15 years


By 2030, China's total Christian population, including Catholics, would exceed 247 million, placing it above Mexico, Brazil and the United States as the largest Christian congregation in the world
LINK NI ni China on course to become 'world's most Christian nation' within 15 years - Telegraph

REFERENCE YA NNE
Africa: Christians outnumber Muslims LINK NI http://vaticaninsider.lastampa.it/en/documents/detail/articolo/africa-africa-18309/

REFERENCE YA TANO

www.voltairenet.org/IMG/pdf/Islam_and_Christianity.pdf
 

mzee nimesema unakua kwa kasi in western Hemisphere...wazungu wanabadili kwa kasi si ndidvyo nilivyosema? yaani huko ukkristo ulikoanzia "uzunguni" hawaufuati tena wana convert na reason ya kuwa kuna influx ya wahamiaji kutoka Arabuni sio major factor peke yake...kuna huangukaji wa kanisa mkubwa sana huko kwa wazungu

ukisoma testimonies za wazungu wengi waliosilimu si kwa sababu kama za waafrika kama ndoa au kazi...bali wengi wao wamekata tamaa na hawauelewi na kuuamini ukristo...then wengi wao wako kwenye research ya dini mbali mbali kama uyahudi, ubudha na mwishowe huangukia kwenye uislamu na wakikaa wakasoma na kulinganisha doubts zao zote...huona ndiyo imani inayoingia akilini kuliko walikokuwa.....

kuna msululu wa Nuns, preachers, bishops huko ulaya wanaobadili dini mpaka inatishia mustakabali wa nchi hizo itakuwaje miaka ya mbeleni...hasa UK, France na AMERICA...na turning point ya mass converts ilikuwa ni 9/11 pamoja na islamaphobia yoote ile...

so if powerful nations zitakuja kuwa na dominance ya uislamu what will happen?
 

kwanza tu ni kwamba UKRISTO haujaanzia uzunguni bali ulianzia mashariki ya kati (ISRAEL/PALESTINE ya leo), kwa mfano kuna nchi za kiarabu nyingi tu zina wakristo wa karne ya kwanza na wapo mpaka leo ( Eg. Coptic Egyptians, Syria, Iraq), huko ndipo ulipoanzia ukristo na sio uzunguni, hao wazungu nao walipelekewa INJILI kama tulivyoletewa sisi sema tu waliwahishiwa, so mzungu ni sawa na mwafrika au mchina au mkorea kwenye kuupokea huo ukristo kwani hata wao walihubiriwa kama sisi tulivyohubiriwa.

Pili suala la kusilimu hata pia kuna waislamu wanaobatizwa na kua wakristo from islam. na umesahau kwamba huko ulaya kuna wale ambao hawana dini pia idadi yao inaongezeka, sasa kwani hao hawajauona huo uislamu?

sasa hivi wamisionari wa kuoneza UKRISTO wanatoka nchi kama Korea, Brazil na sio tena ulaya tu kama ilivyokua zamani, zamani UKRISTO ulikua unaonekana kama ni dini ya wazungu wa ulaya, ila kwa sasa ni GLOBAL Religion.

POWERFUL NATIONS HAZITAKAA KUJA KUWA UNDER ISLAM HATA SIKU MOJA MKUU KUANZIA HII DUNIA IANZE NA MPAKA HUKO TUENDAKO HILO HALIPO, mfano tu nimekupa china ambayo ndo inaonekana itakuja kua powerful hapo mbeleni rate ya CHRISTIANITY GROWTH NI KUBWA SANA, na ndo inatabiriwa itakuja kua na wakrsto wengi kuliko hata marekani
 

Ndugu hayo yote mi nayafahamu...i stand to be corrected kuwa huko western hemisphere ambako wazungu wengi ni wakristo na kundi kubwa la atheists wanaingia uislamu kwa kasi ya ajabu...simply ni kwa kuutafuta ukweli na hasa kinachochangia ni hii hii islamaphobia..huu ni ukweli mgumu kuukubali lakini ndio kinachotokea

as far as i read these news kwa converts wengi they want something to "make sense" na katika kitu ambacho kinawaumiza sana vichwa mpaka wengine hurejea kwenye atheism ni "TRINITY" hii concept kwa wengi huko hawaielewi na wakiifanyia utafiti wanazidi kuchanganyikiwa na wanatoka humo...

so lets agree to that kuwa WAZUNGU wengi wanasilimu tena wonderfully ni wanawake katika all new converts 60% ni wanawake..na kampeni zoote za islam subjugating of women ila si kweli ....

kitu kingine tunashukuru kuwa ile propaganda chafu ya "kuenea kwa upanga" inakuwa ni kichekesho kwani nani anawewekea upanga hao wazungu ambao ndio dunia inaamini wamestaarabika?
 


Nachokiona kwako ni hofu...tu hamna kingine
 


Nachokiona kwako ni hofu...tu hamna kingine

MKUU SINA HOFU YEYOTE KABISA, sasa tuendelee, nishakujibu kwamba waarabu wa Ulaya wana birth rate kubwa kuliko wazungu.
Suala na wazungu kusilimu kua waislamu sidhanii kama ni isue sana kwa sababu kuna waislamu wengi tu tena wasomi wa quran ambao wamekua coverted to CHRISTIANITY, sasa mkuu huwezi jiuliza ni kwanini na hilo linatokea upande wa pili?

EMBU CHEKI LIST HII
List of converts to Christianity from Islam - Wikipedia, the free encyclopedia
Cheki hiyo list mkuu huko utawakuta mpaka wapo waliokua ALQAIDA NA HAMAS wameshabatizwa wameshajua ukweli kwamba ukijilipua unaenda kula moto wa jehanam na sio peponi tena kama wanavyodanganywaga

NA HII MKUU, HIVI SI UNAJUA KWAMBA INDONESIA NDO NCHI YENYE WAISLAMU WENGI DUNIANI?, SASA NA HUKO WANAPUPUTIKA MKUU

A religious revolution is taking place in Indonesia.
Indonesia is the world's largest Muslim nation with 215 million adherents, but a new census shows that 10 percent of Indonesians are now Christian.
In the country's capital of Jakarta there are 40 evangelical churches. Just 50 years ago there were none.
Report: Christianity Growing in Indonesia - World - CBN News - Christian News 24-7 - CBN.com
 

unaweza kuthibitisha growth ya converts to islam to christianity kuwa zaidi ya chriatianity to islam? hii ngumu kuthibitisha mjomba...

another thing wikipedia is not that reliable source japokuwa ni kweli kuwa christans are more in number, okay uliongelea kuhusu china...china will be a largest christian nation by 2020 kwa kuwa na estimated 160 mil christians

kumbuka tunavyoongea...every year 20,000 chriastians are converting to islam in America, 10,000 in Britain, 40,000 in France...na nchi zingine...

ukisoma wikipedia ambako mi mwenyewe naweza kuedit itakudanganya kwani its said to be 3.2 billions of christians na si wakweli

ebu pitia hapa....

A comprehensive demographic study of more than 200 countries finds that there are 2.18 billion Christians of all ages around the world, representing nearly a third of the estimated 2010 global population of 6.9 billion. Christians are also geographically widespread – so far-flung, in fact, that no single continent or region can indisputably claim to be the center of global Christianity.​
A century ago, this was not the case. In 1910, about two-thirds of the world's Christians lived in Europe, where the bulk of Christians had been for a millennium, according to historical estimates by the Center for the Study of Global Christianity.[SUP]2[/SUP] Today, only about a quarter of all Christians live in Europe (26%). A plurality – more than a third – now are in the Americas (37%). About one in every four Christians lives in sub-Saharan Africa (24%), and about one-in-eight is found in Asia and the Pacific (13%).​

 
Mkuu reference zangu hazijatoka wikipedia tu, zicheki vizuri. Nimetafuta pia reference zingine mkuu, reference nyingi zinasema kwamba christianity in 1/3 ya word population, aroud 2.2 Bilion

pili siwezi thibitisha kwamba wanaotoka from christian to islam ni wengi kuliko wanaotoka from christian to islam ila hapa tu nilitaka kukuonyesha kwamba hili suala lipo kote kote manake wewe ulitoa reference ya wazungu kua converted to islam na ukaona kama ni big isue sana, mimi nikakuonesha kwamba sio big isue sana kwa sabau bu pia wapo mashehe na wanazuoni wa kiislamu waliosoma hiyo dini kuliko wewe na wengine walikua ni magaidi wanaojitoa mhanga lakini wamekua converted to CHRISTIAN

"kumbuka tunavyoongea...every year 20,000 chriastians are converting to islam in America, 10,000 in Britain, 40,000 in France...na nchi zingine... NILISHAKUJIBU KWAMBA HAWA JAMAA WA HUKO ULAYA SA IVI HAWANA EFFECT TENA KWENYE POPULATION YA DUNIA KWA SABABU HAWAZAANI MKUU, WANAPUNGUA KILA SIKU NA NADHANI HILO UNAJIJUA SIHITAJI KUWEKA REFERENCE
 
Mkuu reference zangu hazijatoka wikipedia tu, zicheki vizuri

hiyo ya wikipedia imekudanganya...its not the truth...kwa Ulaya ukubali au ulete ubishi sasa hapa..ni kuwa muslim converts to christian ni rate ndogo sana na tofauti na kinyume chake...pia christians to convert to atheism ni rate kubwa sana...

so uliposema china itakuwa LARGEST christian population country ina maanisha kuna nchi iko na hiyo sifa then itaipiku...na kwa mujibu wa link yako by 2020 wanaweza kuwa 160 milions....lakini bado ujue huko Northen America wataalamu wa demographics wanahofu kuwa by 2025 nchi itakuwa muslim country USA as well As Canada...USA tu kuna wakazi si chini ya 500 million...

so its a complicated scenario....growth rate ya dini hizi mbili ni tofauti sana...one is more speeder than another
 

kwa hiyo unakubaliana na sources kuwa by few decades huko...WESTERN countries itakuwa Islamic Empire?

with all technologies and resources itakuwa under muslim hands?

kwa kumalizia unalazimika kukubali kuwa western EUROPE and Arab penisula na north Africa all will be Muslim countries by next few generations...

where is that propaganda of ''Islam cannot spread until cohesive means applied?"
 
Kama hiyo ya wikipedia ni ya uongo kuhusu hayo majina? ya walio kua converted to CHRISTIAN FROM ISLAM? hiyo ni kweli mkuu icheki.

halaf CHINA imeiacha USA mbali sana kwa watu hata hawakaribiani mkuu SO BADO KUNA GAP KUBWA HAPO in terms of population.

Pili nimekupa mfano wa nchi ya indonesia ambayo ndo inaongoza kwa waislam lakini sasa hivi 10% ya wakazi wake ni CHRISTIAN, sasa we angalia 10% ya watu zaidi ya milioni 200 ndani uya muda mfupi halaf ndo utapata spidi ya growth rate ya hizi religions. in short sidhani kama ISLAM RELIGION NI TISHIO KWA CHRISTIAN RELIGION
 

Ndugu huo ukristo unaousubiri ufikie milioni 160 mwaka 2020 ...tunavyoongea sasa china kuna 100 muslims...

Si kila wanachosema Wikipedia ni waongo...nilichosema si Reliable kwani kila mtu anaweza kuedit na kuweka info zake pale...japokuwa kuna ukweli...

Nafunga mjadala
 

Kweli halafu aangalie growth ya watu wanaoconvert to chrustian in china, kwa sasa hivi kila mwaka china kuna watu zaidi milioni.kumi wanakuwa wakristu ht hiko uarabuni watu wengi sanaaa wanabadili kuwa wakiristu sema tu uarabuni watu wanajificha kwasababu ukijulikana unauliwa mwambie jmaa kuwa waarabu wengi sasa wanabadili dini na kuwa wakiristu kimyakimya!!
 

Hao wahamiaji hakuna mkiristu anaukubali uislamu katu abadani. Ukiona ujue wanafanya research tu basi baada ya hapo wanaendelea na maisha. Mm ninasema hakuna ni kwa maslahi tu. Wazungu wengi nimeshawasikia i was muslim and now i am re-born to christian kiukweli hakunaaaa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…