meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
tena ukizingatia kigezo cha kazi ni kujua kimombo!What about our own graduates who are unemployed kwa sasa? huoni kama kutakua na competiion zaidi kupate the scarce available jobs?
tena ukizingatia kigezo cha kazi ni kujua kimombo!What about our own graduates who are unemployed kwa sasa? huoni kama kutakua na competiion zaidi kupate the scarce available jobs?
tena ukizingatia kigezo cha kazi ni kujua kimombo!
1.Wakenya wanafanya kazi kwa bidii na wanatumia fursa mbalimbali za kiuchumi zinazojitokeza kujiongezea kipato..
2.wananchi wake wanashiriki kwa kiwango kinachoridhisha ktk masuala ya kisiasa ambayo ndiyo baadaye huamua muelekeo wa sekta zingine.
3.wengi wao wanafahamu kiingerza (hata hivyo hiki sio kigezo cha usomi ama maendeleo)..lugha hii inawasaidia kuingiliana kiurahisi na wageni na ktk harakati za kusaka maarifa ktk vyanzo mbalimbali.
Pamoja na hayo ,bado wanasumbuliwa na tatizo la ubinafsi ambalo msingi wake ni ubepari kama mfumo uchumi wanaotumia.
There is a new trend in Kenya, illegal white immigrants in Kenya who come to the country for better job prospects. Europe has been hit by an economic crisis and high unemployment rates. Many Europeans, the lost generation, are now immigrating into countries like Kenya and South Africa looking for brighter prospects. They are called the1000-Euro generation, i.e. the generation of European graduates, particularly in Southern Europe, trying to find work in tough economic times and often settling for low paying jobs earning 1000 EUR per month. 1000 EUR might be a lot of money in Kenya but in Europe, with the high living standards, its peanuts. So many opt for Kenya where they typically earn over 1500EUR per month doing jobs such as journalism, non profit work, grant writing, missionary work etc. To navigate Kenyas tough laws on expatriates, they use various methods including the paying of bribes to immigration officials to secure work permits.
This is a very interesting and ironic twist to the question of international immigration. While many Kenyans and Africans are struggling to get to Europe for brighter prospects, many Europeans are trying to get to Kenya for even brighter prospects.......
SOURCE
...plus the influx of somalians with their support from al shabab,who dominate the matatu busness at large part around nairobi.now be prepared to be bombed out in a matatu by al shabab suicider.ha ha ha ha imekula kwenu wa "kinyaa".We actually need that influx of europeans becasue they have skills they can export from their countries and implement here in East Africa. for me I am for the Idea 100%. It seems tides are turning backwards.
And so? Middle income status measured by which yardstick? Why are some Africans having such a low self esteem?
speak for yourself!I can see it in you.
Nimerejea jioni hii kutoka Nairobi.
Ktk mazungumzo yangu na Wakenya na hata kwa kushuhudia kwa macho yangu,nimefikia hitimisho kuwa wenzetu hawa wapo mbali mno kimaendeleo kulinganisha na sisi.Huu ni ukweli mchungu hata kama Watanzania hawapendi kuusikia.
Sasa wanapambana kuondoa ukabila na taratibu mafanikio yanapatikana.
speak for yourself!
And that's why you deem it fit to name yourself ketav ashurit.Take it easy, life is better than that. Kenya will always be ahead of Bongo, it is a proven fact. You may not like it, but that is the bottom line.
Do you think they come to help you/ us? They just come to help themselves, bro!We actually need that influx of europeans becasue they have skills they can export from their countries and implement here in East Africa. for me I am for the Idea 100%. It seems tides are turning backwards.
Kwa kutambua kuwa awamu ya Mzee Kenyata na Moi zilipalilia ukabila kwa kutumia udhaifu wa kikatiba ,sasa katiba mpya inatoa angalau sehemu ya jawabu kwa ku-embrace mfumo wa decentralization by devolution (kupeleka mamlaka kwa wananchi ktk ngazi ya jimbo kama ilivyo Marekani,huku mfumo wake ukihusisha county assemblies (ama Senate) ,county executive commitee,na county public service.Ukabila unaondolewa kivipi? Tufafanulie mkuu.
Haya mafanikio yaliyopatikana ni yepi? Fafanua usemi huu ili tukuelewe.
Kuna thread hapa ya Mombasa republic...Pwani si Kenya. Je huu ni ukabila au utaifa? Au ndio mafanikio yenyewe?
Kenya imejiingiza mzozo wa Somalia na bado wanapiga hatua kubwa za kimaendeleo? Fedha za kununulia vifaa vya vita na fedha ya kupigana vita "wanamiminiwa" kutoka wapi?
And that's why you deem it fit to name yourself ketav ashurit.
Do you think they come to help you/ us? They just come to help themselves, bro!
Inaitwa Recolonization. It can be in another form but muzungu is not here to kiss the ....... of a negro, they are back to kick it harder. Hata uraia watachukua kama hilo litawasaidia" kujitanua".
...as a Tanzanian? What's wrong with you? What kind of language are you using? Aisee acha kujifanya unajua wakati ukweli ni kwamba hujui kitu!Guys like you I will raise an issue with the supermods bcasue tone yenu na akina bantugbro are not healthy for a serious debate. mwanzo your aims ni kuleta taharuki kwenye mathreads mpaka zinafungwa na akina XPASTER. i think what you as a tanzanian is suffering from is identity crisis which does not really approve for the acrimonious zeal that you are trying to exzibit. I would really like you to emulate akina Nonda and the way they put their posts. Mkuu, hakuna haja indicate 5.0 posts per day index, and yet unzungumza upuzi mtupu which degenerates into cynicsm.
What about our own graduates who are unemployed kwa sasa? huoni kama kutakua na competiion zaidi kupate the scarce available jobs?
Koba,
What is wrong with you guyz? Why you are so obssessed with Tanzania? It seems a sentence can't be complete without bashing Tanzania. Frankly speaking, it is so annoying and it shows how myopic you are.