Kuna yule tajiri felix mosha alisema kwny interview kuna eneo alikua anataka kujenga hotel nadhani ilikua Tanga akafukuzia kibali serikalini kwa karibu miaka mitatu wakawa wanamzungusha tu.
Sasa kuna kipindi akaenda Rwanda kwny mkutano wa wafanyabiashara,katika kuzurura zurura kuna eneo akalipenda akawa anataka kuwekeza,alivyoliulizia tu akaletewa hao RDB,Meya akaja chap,watu wa ardhi etc na within 48 hrs akawa amepata vibali vyote.
Na amejenga hotel ya nyota 3 huko.