Where to invest in Africa: Tanzania yaondolewa kwenye 10 bora

Hapana mkuu inawezekana ila bado utashi wa kufanya hivyo kwa watendaji wa huku chini haupo tayari.

Jana tu kwny taarifa ya habari huko Bunda kuna jamaa anaitwa Kweka alikua analalamika kwa mkuu wa mkoa,kwamba amefuatilia vibali vya kujenga kiwanda cha kuchakata mazao na chakula cha kuku lkn ni miaka sasa anazungushwa so akasema ameamua kujenga hivyo hivyo bila vibali na atakayemsumbua basi yeye ataenda kumshtaki kwa rais maana rais aliwambia wajenge then mambo ya vibali yatafuata.

Unaweza ukapa picha sasa mkuu.
Licha ya kuzungushwa hivyo, pia sio taasisi moja inayotoa hivyo vibali. Unaweza kukuta hadi ufanikiwe upite katika taasisi na wizara zaidi ya moja.
 
Hapana mkuu inawezekana ila bado utashi wa kufanya hivyo kwa watendaji wa huku chini haupo tayari.

Jana tu kwny taarifa ya habari huko Bunda kuna jamaa anaitwa Kweka alikua analalamika kwa mkuu wa mkoa,kwamba amefuatilia vibali vya kujenga kiwanda cha kuchakata mazao na chakula cha kuku lkn ni miaka sasa anazungushwa so akasema ameamua kujenga hivyo hivyo bila vibali na atakayemsumbua basi yeye ataenda kumshtaki kwa rais maana rais aliwambia wajenge then mambo ya vibali yatafuata.

Unaweza ukapa picha sasa mkuu.
Hao watendaji wa chini wasio kuwa na utashi wa kufanya hivyo ni wakina nani wa mkoa gani ili niwashugulikie maramoja 😂
 
Rwanda sijui inaingiaje. Very limited natural resources, insufficient land, no/little skilled labor, no free judiciary, no democracy etc.

Labda element wanayoweza kujivunia ni hiyo ya kumbambana na rushwa na hali ya usalama iko vizuri kama vile hapa Bongo tu

Kama hakuna hila za mabeberu ilitakiwa na Tanzania iwepo, lakini South Afrika ni mabeberu na mtu na mjomba wake, so sishangai


Aliyeweka vigezo ni nani?
Na je watafiti wametoka nchi zipi duniani?
 
Hii ni kulingana na ripoti ya Rand Merchant Bank iitwayo 'where to invest in Africa'. Ripoti imeitaja Tanzania kuwa moja ya nchi zilizoshuka sana kwenye orodha yao ya sehemu bora za kuwekeza Afrika. Top 10 ya mwaka huu ni:
10. Tunisia
9. Ethiopia
8. Nigeria
7. Cote D'Ivore
6. Ghana
5. Rwanda
4. Kenya
3. South Africa
2. Morocco
1. Egypt
Nadhani Tanzania imewekwa kwenye topten ya Asia Pacific
 
Rwanda sijui inaingiaje. Very limited natural resources, insufficient land, no/little skilled labor, no free judiciary, no democracy etc.

Labda element wanayoweza kujivunia ni hiyo ya kumbambana na rushwa na hali ya usalama iko vizuri kama vile hapa Bongo tu

Kama hakuna hila za mabeberu ilitakiwa na Tanzania iwepo, lakini South Afrika ni mabeberu na mtu na mjomba wake, so sishangai
Kama kuna jambo linalo tu cost kwasasa ni ile kutokua na sharia ambazo zipo stable, yaani hatutabiriki. Now I'm saying kwamba labda tumekosea sasa hivi, maana yangu ni hi, angalia miswaada iliopelekea kua sharia na then imerudishwa bungeni tena halafu imetungia au kurekebishwa hiyo sharia, ni mara ngapi? Sheria zetu za kodi nazo hazipo predictive kabisa, hayo mambo na natural resources sio kigezo pekee labda mtu awe anakuja kwenye madini, makampuni ya utalii nk but kwenye banks, viwanda, shule, hospitals, kampuni za simu nk hizo hazihitaji natural resources. Tujitahidi kua na sharia imara ambazo hazibadiriki badiriki. Kama kuna kitu ambacho ningemshauri mhe No 1 basi ni kuwasikiliza wabunge wa upinzani, hao wabunge wake wa ccm wapo wachache mno ambao wanaweza kujenga hoja zenye maana, alikuwepo Bashe ambaye kwasasa ni waziri so sitegemei saana kumsikia akichangia bungeni kama alivyokua akifanya zamani, wabunge wa upinzani kwakua hawana cha kuhofia mambo ya part kokasi wanaweza kuchangia huku wakiwa huru, mfano msikilize Selukamba last time alivyo changia halafu mchango wake ule ule ambao wengine tuliupenda, juzi kaomba msamaha kwamba urekebishwe, this means kwamba next time hawezi kuchangia akiwa HURU kwasababu ya mambo ya chama chake, wabunge kama kina Msigwa, Halima Mdee, Lissu, Zitto wanaweza kumpa madini ya maana mhe kuliko wabunge wake. Wabunge wa ccm wapo pale kuifanya tu serikali kua salama but sio nchi, hawana mchango wa maana kiviiile. MTAZAMO wangu
Kingine ni urasimu ( ingawa hili ni la siku nyingi kidogo ). Tanzania ili upate sahihi ya mtu kukuruhusu kufanya jambo, yaani kwanza hiyo milolongo but again hata hao waweka sahihi wenyewe wakipatikana sasa, watajizungusha weee, yaani ile mentality ya UBEPARI kwetu bado sana, hatujazoe kufanya kazi kwa kuangalia muda wa mtu. Nitatoz mfano mmoja mdogo sana ambao sio wa kibiashara; hivi zoezi la kupata vitambulisho vya taifa wenzangu mnalionaje? Is like kama msaada vile, watu wamejiandisha miaka kadhaa but kukipata hicho kitambulisho sasa ndio mtihani, ni kama ilivyokuaga Enzi zile kupata simu za mezani za TTCL, utadhani TTCL ilikua haifanyi biashara, ilikua inatoa huduma za msaada. Sometimes mhe anavyo wafokeaga hawa watu wake wa chini, binafsi hua nina mwelewa sana tu. URASIMU, jamani, URASIMU Khaa
 
Hii ni kulingana na ripoti ya Rand Merchant Bank iitwayo 'where to invest in Africa'. Ripoti imeitaja Tanzania kuwa moja ya nchi zilizoshuka sana kwenye orodha yao ya sehemu bora za kuwekeza Afrika. Top 10 ya mwaka huu ni:
10. Tunisia
9. Ethiopia
8. Nigeria
7. Cote D'Ivore
6. Ghana
5. Rwanda
4. Kenya
3. South Africa
2. Morocco
1. Egypt
Kama ni kweli sipati picha jirani zetu Kenya wanavyocheka kwa dharau
 
Hahaaaa
et rwanda hii ya slim
kwakua mabeberu bado wanahitaji madini toka DRC wanaipamba 🤭 slim avimbe bichwa
 
Kama kuna jambo linalo tu cost kwasasa ni ile kutokua na sharia ambazo zipo stable, yaani hatutabiriki. Now I'm saying kwamba labda tumekosea sasa hivi, maana yangu ni hi, angalia miswaada iliopelekea kua sharia na then imerudishwa bungeni tena halafu imetungia au kurekebishwa hiyo sharia, ni mara ngapi? Sheria zetu za kodi nazo hazipo predictive kabisa, hayo mambo na natural resources sio kigezo pekee labda mtu awe anakuja kwenye madini, makampuni ya utalii nk but kwenye banks, viwanda, shule, hospitals, kampuni za simu nk hizo hazihitaji natural resources. Tujitahidi kua na sharia imara ambazo hazibadiriki badiriki. Kama kuna kitu ambacho ningemshauri mhe No 1 basi ni kuwasikiliza wabunge wa upinzani, hao wabunge wake wa ccm wapo wachache mno ambao wanaweza kujenga hoja zenye maana, alikuwepo Bashe ambaye kwasasa ni waziri so sitegemei saana kumsikia akichangia bungeni kama alivyokua akifanya zamani, wabunge wa upinzani kwakua hawana cha kuhofia mambo ya part kokasi wanaweza kuchangia huku wakiwa huru, mfano msikilize Selukamba last time alivyo changia halafu mchango wake ule ule ambao wengine tuliupenda, juzi kaomba msamaha kwamba urekebishwe, this means kwamba next time hawezi kuchangia akiwa HURU kwasababu ya mambo ya chama chake, wabunge kama kina Msigwa, Halima Mdee, Lissu, Zitto wanaweza kumpa madini ya maana mhe kuliko wabunge wake. Wabunge wa ccm wapo pale kuifanya tu serikali kua salama but sio nchi, hawana mchango wa maana kiviiile. MTAZAMO wangu
Kingine ni urasimu ( ingawa hili ni la siku nyingi kidogo ). Tanzania ili upate sahihi ya mtu kukuruhusu kufanya jambo, yaani kwanza hiyo milolongo but again hata hao waweka sahihi wenyewe wakipatikana sasa, watajizungusha weee, yaani ile mentality ya UBEPARI kwetu bado sana, hatujazoe kufanya kazi kwa kuangalia muda wa mtu. Nitatoz mfano mmoja mdogo sana ambao sio wa kibiashara; hivi zoezi la kupata vitambulisho vya taifa wenzangu mnalionaje? Is like kama msaada vile, watu wamejiandisha miaka kadhaa but kukipata hicho kitambulisho sasa ndio mtihani, ni kama ilivyokuaga Enzi zile kupata simu za mezani za TTCL, utadhani TTCL ilikua haifanyi biashara, ilikua inatoa huduma za msaada. Sometimes mhe anavyo wafokeaga hawa watu wake wa chini, binafsi hua nina mwelewa sana tu. URASIMU, jamani, URASIMU Khaa
'yaani ile mentality ya UBEPARI kwetu bado sana'.

Hapo umemaliza kila kitu mkuu,tukifanikisha kua na mentality hio tutapiga bao sana.
 
Siku ukijaliwa, tembelea ofisi za Rwanda Development Board (RDB) na za Tanzania Investment Center (TIC) utajua nani yuko serious na kuvutia wawekezaji.
Huko kwenu naskia hadi wizara ya uwekezaji iliundwa ili waziri mhusika akapumzike 😄
Huna uhakika ila unasikia tu? Mwenzio kaleta hoja hapo hujajibu hata moja? Kwanini tukatembelee hiyo ofisi we si umeleta hoja tetra hoja yako sasa.
 
Back
Top Bottom