Where to invest in Africa: Tanzania yaondolewa kwenye 10 bora

Sioni kwa kwanii hilii liwashangaze, hata shule tulikuwa tunazidiana ufaulu, hivyo kuwepo mabadiriko ya nafasi kwenye matokeo ya jumla. Kuna wakati unakua wa kwanza na kuna wakati unakuwa wa pili, ah tatu. Inaweza kutofautiana mark 1, ukapata 99 minzani Zapata 100 hivyo utakuwa wa pili. Vivyo hivyo hapa, unaweza kuta tulizembea mahala tumekuwa knocked further down, tuongeze juhudi tutarudi tu.
 
Kuna yule tajiri felix mosha alisema kwny interview kuna eneo alikua anataka kujenga hotel nadhani ilikua Tanga akafukuzia kibali serikalini kwa karibu miaka mitatu wakawa wanamzungusha tu.

Sasa kuna kipindi akaenda Rwanda kwny mkutano wa wafanyabiashara,katika kuzurura zurura kuna eneo akalipenda akawa anataka kuwekeza,alivyoliulizia tu akaletewa hao RDB,Meya akaja chap,watu wa ardhi etc na within 48 hrs akawa amepata vibali vyote.

Na amejenga hotel ya nyota 3 huko.
Nikweli bado tuko nyuma sana kwenye kufanya maamuzi kwaajili ya wawekezaji. Last week nilikuwa Rwanda tulikuwa na mkutano na kamishna wa RRA anakweleza kitu unaelewa na wana vitendea kazi kweli kwa masaa machache sana na unapata jawabu unaendelea na kilicho kuleta bila ya shida kabisa. Tujitazame kwa makini, hakuna cha Rwanda ni ndogo bali utendaji wa kueleweka ndio nguzo imara ya kila kitu.
 
Nikweli bado tuko nyuma sana kwenye kufanya maamuzi kwaajili ya wawekezaji. Last week nilikuwa Rwanda tulikuwa na mkutano na kamishna wa RRA anakweleza kitu unaelewa na wana vitendea kazi kweli kwa masaa machache sana na unapata jawabu unaendelea na kilicho kuleta bila ya shida kabisa. Tujitazame kwa makini, hakuna cha Rwanda ni ndogo bali utendaji wa kueleweka ndio nguzo imara ya kila kitu.
Mkuu labda wakubwa wakipitia mchango kama huu wa kwako wa mtu mwenye experience wanaweza wakajua namna ya kurekebisha pale tunapoteleza kidogo.
 
'yaani ile mentality ya UBEPARI kwetu bado sana'.

Hapo umemaliza kila kitu mkuu,tukifanikisha kua na mentality hio tutapiga bao sana.
The problem is brother; kwenye katiba tunajiita sisi ni WAJAMAA (sina hakika kama kuna nchi duniani bado ina practice Ujamaa nje ya Korea ya Kaskazini ) lakini huku nje tunacheza kibepari then tunajikuta kwenye UJAMAA hatupo kabisaaa but wimbo na bits zake zote zipo kibepari. Mhe akikaza kwa watendaji wa serikalini na tukawa na sharia ambazo ni stable, hakika hakuna wa kutushinda hapa Africa, Africa kusini ingeweza kua mshindani mkubwa but kwa mazingira yao yalivyo sidhani sana, hebu tuwe na serikali na bunge stable, hakika tutatoka. Wawekezaji watakuja tu wenyewe.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom