Am just curious...............
1. Wanajipanga??
2. Wanapangana?
3.Wanashangaa?
Coz kuna habari ya sintofahamu, makamu wa kwanza wa rais Zenj, ambaye ni katibu mkuu inasemekana anaskip vikao vya chama!!!! Mtatiro naye simuoni akiitisha press conf,,prof wa Uchumi sijui kasafiri??? Where is CUF??