When Mwendo kasi meets mwendaPole

nao hao wa mwendo kasi wafuate sheria. maana wanaendesha utadhania ni emmergcy vehicle.
na sie bado ustaarabu wa kupishana hasa Dar haupo kabisa. twagombea barabra kama kitoweo
 
Kwani hizi gari huwa hazina breki ? Hapo traffic case huyo mwendo kasi ndio ana makosa kwa kumgonga huyo basi la mkoa
Unajua sheria au umeamua ku comment tu?
 
Mwendo kasi ni kama treni. kamwe huwa haigongwi. Inagongwa tu.
Watumie ustaarabu mkuu zitaisha mapema sana kwa hizi ajali ambazo madereva wa mwendo kasi wanaweza kuziepuka.Treni tunajua breki zake ni za mbali lakini hiyo gari inaweza kusimama wakati wowote.
 


Tahadhari ukikamatwa una endesha kwenye barabara za mabasi ya kwenda kasi, siku nzima una kaa nje ya kituo cha police umeshika hilo bango
 


Tahadhari ukikamatwa una endesha kwenye barabara za mabasi ya kwenda kasi, siku nzima una kaa nje ya kituo cha police umeshika hilo bango
Hiyo sio adhabu huyo kapumzishwa, alitakiwa miezi mitatu segerea na viboko saba kuingia saba kutoka akawaonyeshe kijiweni
 


Tahadhari ukikamatwa una endesha kwenye barabara za mabasi ya kwenda kasi, siku nzima una kaa nje ya kituo cha police umeshika hilo bango


Waafrika bhana jamaa mweusi kama ugolo lkn anajita Mshirazi, kwa wasiojua Washirazi ni watu ktk Irani kama Rostam Aziz waliohamia Zanzibar zamani sana, sasa wewe niga na Uirani wapi na wapi?? Hivi huyo jamaa akienda irani akawaambia wa Irani kwamba yeye anatoka Irani watamuonaje?? hivi ni nani alituloga jamani??!
Sisi Waafrika kweli ni ngozi ya tako yaani ili mradi aukane Uafrika wake tu atasema chochote kile ndiyo ya akina maalimu Seif mtu mweusi kama ugolo lkn kutwa kujiita Mwarabu wakati akienda Saudi watamwita (Seif) abdi maana yake mtumwa!


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…