(Sista Benadeta akimsimulia sista Marieta yaliyomsibu alikotoka).>>>
SISTA BENADETA: Basi bwana, nikawa nikiongeza mwendo na yeye anaongeza, kila kona ninayokata na yeye yumo, nikajua ana malengo mabaya na mimi a.k.a anataka kunibaka>>>> SISTA MARIETA: Ukachukua uamuzi gani dadangu?
SISTA BENADETA: Si ndo nikaanza kutimua mbio, lakini kwa sababu yeye ni mwanaume akawa anazidi kunikaribia kwa kasi, nikaamua kumkomoa, nikapandisha gauni juu kabisa na yeye akashusha suruali na boxer yake chini magotini.>>> SISTA MARIETA: Hapo ndo patamu, enhe nambie kilichofuata?
SISTA BENADETA: Si unajua tena, mwanaume aliyeshusha suruali na boxer hadi magotini hawezi kukimbia sawa na mwanamke aliyeinua gauni juu, kwa hiyo nilimshinda mbio na ndo maana nimefika salama hapa.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]