๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฒ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜‡๐—ผ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐˜€๐˜๐—ฎ๐˜๐˜‚๐˜€

๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฒ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜‡๐—ผ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐˜€๐˜๐—ฎ๐˜๐˜‚๐˜€

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,221
Reaction score
2,425
1_20250616_213236_0000.png


Watumiaji wa Whatsapp muda sio mrefu mtaanza kukutana na mabadiliko mapya kwenye program ya Whatsapp baada ya ripoti mpya toka Wabetainfo kuwa Watumiaji wa Whatsapp wataanza kupokea matangazo upande wa Status.

๐Ÿ’จ Sasa Watumiaji wa Whatsapp wataanza kupokea Mabadiliko kadhaa;


โŽ Whatsapp wametambulisha channel subscription ambapo inampa uwezo mtu ambaye ameunda channel kwenye Whatsapp kuweza kuweka option ya watu kulipia ili kuweza kupata exclusive content toka kwenye hiyo channel ambapo watu watakua wanalipia kwa mwezi.

2_20250616_213236_0001.png


โŽ Pia Whatsapp ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐˜๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐—น๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐˜‚๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ธ๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฒ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜‡๐—ผ ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—ถ๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ป๐—ฒ๐—น yake iweze kuonekana zaidi kwa watu wote na kuweza kujitangaza duniani kwa urahisi kama ilivyo kwenye Instagram nk. yake iweze kuonekana zaidi kwa watu wote na kuweza kujitangaza duniani kwa urahisi kama ilivyo kwenye Instagram nk.

3_20250616_213236_0002.png


โŽ ๐–๐ก๐š๐ญ๐ฌ๐š๐ฉ๐ฉ ๐ฐ๐š๐ฆ๐ž๐š๐ง๐ณ๐š ๐ค๐ฎ๐ฐ๐ž๐ค๐š ๐Œ๐š๐ญ๐š๐ง๐ ๐š๐ณ๐จ ๐ฌ๐ž๐ก๐ž๐ฆ๐ฎ ๐ฒ๐š ๐’๐ญ๐š๐ญ๐ฎ๐ฌ ๐‡๐ข๐ข ๐ง๐ข ๐ง๐ฃ๐ข๐š ๐ฆ๐ฉ๐ฒ๐š ๐ฒ๐š ๐ฐ๐š๐Ÿ๐š๐ง๐ฒ๐š๐›๐ข๐š๐ฌ๐ก๐š๐ซ๐š kuweza kuwafikia wateja zaidi kupitia matangazo yatakayojitokeza upande wa Tab ya Status. Matangazo hayo yameundwa kwa uwangalifu kwa kuzingatia faragha (privacy).

Kuonyesha matangazo bado Watumiaji wake wataendelea kuwa salama kwani unaweza kuwasiliana na mtu ambaye ametuma tangazo lake na ukaliona bila namba yako ya simu kuonekana pia Tangazo litaendana na mtumiaji wa Whatsapp amechagua nini kuanzia
๐Ÿ’จ Nchi au mji
๐Ÿ’จ Lugha
๐Ÿ’จ Channel ulizo zi follow
๐Ÿ’จ Vile ambavyo Utaweza ku interact unapokutana na matangazo kwenye akaunti yako.

Kwaiyo kuanzia sasa ukianza kuona matangazo kwenye Whatsapp yako usije kuanza kushangaa..๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Back
Top Bottom