Whatsapp status zinazoboa

Whatsapp status zinazoboa

Mtu anakaa anakazi ya kuperuziii profile pic za watu na kuchukua kiasi cha muda wake kukutext nakukumbusha kubadili...hana cha kum-kip busy..ndo ushakunaku wenyewe
 
Kuna mvulana alifiwa na kaka yake juzi eti akaweka picha ya bro wake akiwa kwenye jeneza kafunguliwa kabisa na status kaandika "we wil mic u bro" aisee nilimshangaa sana status ilitosha lakini picha ilikua too much.
 
hahahahh ila ni kweli. Kuna binti alikuwa anasafiri akaweka " on flight" hadi leo, sasa sijui anaenda sayari ya Mars au vipi

yuko kwenye ndege iliyopotea siyo kosa lake msubiri akitua atabadili mkuu
 
Unakuta mtu kila siku anabadili profile picture mara 2! Unajiuza?

yaani kuna watu hiyo Whatsapp wameishobokea utadhani hawana kazi kutwa ni kutuma picha kubadili status na mengine ya kuboa ole wako umshauri sasa utaambulia maneno makali mpaka ujute kwa nini hata ulikuwa na namba yake yaani ni shidaaaaaa!!!!!!
 
Yeah kuna watu wakilia wanaandika wakiamka wanaandika.
Bora whatsappp kuna mtu akiamka anajipiga picha anaweka, akilala anaweka etc
 
Back
Top Bottom