๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐˜ƒ๐˜‚๐—ป๐—ท๐—ฎ ๐—ฟ๐—ฒ๐—ธ๐—ผ๐—ฑ๐—ถ ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐Ÿฑ

๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ ๐—ถ๐—บ๐—ฒ๐˜ƒ๐˜‚๐—ป๐—ท๐—ฎ ๐—ฟ๐—ฒ๐—ธ๐—ผ๐—ฑ๐—ถ ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿฎ๐Ÿฑ

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,221
Reaction score
2,425
Whatsapp record _20250502_203506_0000.png


๐Ÿ’ก Whatsapp imefanikiwa kuweka rekodi kwa kuwa mtandao wa kwanza wa kijamii kuwa na watumiaji wengi kila mwezi zaidi ya watumiaji bilioni 3.

๐Ÿ’ก Siku ya jumatano mkurugenzi mkuu mtendaji wa meta Tajiri Mark Zuckerberg Aliweza kutangaza kupitia mkutano wa matokeo ya kifedha ya robo kwanza Q1, kwa kuweza kusema Whatsapp imevunja rekodi ya kipekee.

images.png


โšก Whatsapp ambao ilianzishwa mwaka 2009 baada ya muda iliweza kununuliwa na kampuni ya Facebook ilikua mwaka 2014 kwa Takribani Zaidi ya Dola bilioni 19, ambapo mpaka kufikia mwaka 2020 Whatsapp ilikua Ina jumla ya watumiaji bilioni 2 kila mwezi.

๐Ÿ’ก Ila mpaka sasa Whatsapp imevunja rekodi kuwa app ya pili kuwa na watumiaji wengi kwa mwezi ambapo inaripotiwa zaidi ya watu bilioni 3 wanatumia Whatsapp kwa Mwezi kama ilivyokuwa mtandao wa Facebook.

โš™๏ธ Mitandao mingine yenye watumiaji wengi kwa mwenzi ni kama ifuatavyo;
โšก YouTube watumiaji bilioni 3
โšก TikTok watumiaji bilioni 1.6
โšก Instagram watumiaji bilioni 2

๐ŸŒ Jambo la muhimu zaidi Kuna hati hati ya mtandao wa Whatsapp kuweza kuwekewa matangazo japo kampuni ya Meta Ina wasiwasi ya kupoteza watumiaji wake.

๐Ÿš€ Je utafurahia mtandao wa Whatsapp siku wakianza kuweka matangazo kwa watumiaji wake tuachie
maoni yako?
 

Attachments

  • Whatsapp record _20250502_203506_0000.png
    Whatsapp record _20250502_203506_0000.png
    1,021.9 KB · Views: 19
Kesi ya jamaa kuhusu ushindani inaendaje.....wakimtaka aiuze sijui itakuaje
 
View attachment 3323026

๐Ÿ’ก Whatsapp imefanikiwa kuweka rekodi kwa kuwa mtandao wa kwanza wa kijamii kuwa na watumiaji wengi kila mwezi zaidi ya watumiaji bilioni 3.

๐Ÿ’ก Siku ya jumatano mkurugenzi mkuu mtendaji wa meta Tajiri Mark Zuckerberg Aliweza kutangaza kupitia mkutano wa matokeo ya kifedha ya robo kwanza Q1, kwa kuweza kusema Whatsapp imevunja rekodi ya kipekee.

View attachment 3323028

โšก Whatsapp ambao ilianzishwa mwaka 2009 baada ya muda iliweza kununuliwa na kampuni ya Facebook ilikua mwaka 2014 kwa Takribani Zaidi ya Dola bilioni 19, ambapo mpaka kufikia mwaka 2020 Whatsapp ilikua Ina jumla ya watumiaji bilioni 2 kila mwezi.

๐Ÿ’ก Ila mpaka sasa Whatsapp imevunja rekodi kuwa app ya pili kuwa na watumiaji wengi kwa mwezi ambapo inaripotiwa zaidi ya watu bilioni 3 wanatumia Whatsapp kwa Mwezi kama ilivyokuwa mtandao wa Facebook.

โš™๏ธ Mitandao mingine yenye watumiaji wengi kwa mwenzi ni kama ifuatavyo;
โšก YouTube watumiaji bilioni 3
โšก TikTok watumiaji bilioni 1.6
โšก Instagram watumiaji bilioni 2

๐ŸŒ Jambo la muhimu zaidi Kuna hati hati ya mtandao wa Whatsapp kuweza kuwekewa matangazo japo kampuni ya Meta Ina wasiwasi ya kupoteza watumiaji wake.

๐Ÿš€ Je utafurahia mtandao wa Whatsapp siku wakianza kuweka matangazo kwa watumiaji wake tuachie
maoni yako?
Ila bado sijajua kwanini jamaa mark anaogopa kuweka matangazo advertisement kwenye WhatsApp. Yani akifanya hivyo atakuwa #1 billionaire.

Nyau de adriz
 
Back
Top Bottom