naomba kama kuna anaejua nini tatizo la tecno Kwenye whatsap aplication mana nilianza na P3 whatsap ikagoma nikanunua M5 ikagoma baada ya muda.hili si kwangu tu pamoja na baadhi ya watu wenye simu za tecno.
Sorry, off topic:
Kuna yeyote anatumia TECNO D1? Iko poa?
Nnampango nayo.
Inagoma je? Kama inazingua verification uninstall hiyo app then download na u_install upya.
Hizi P3 na N3 ni majanga juu ya Memory ndogo zake