whatsap kwenye simu za Tecno

whatsap kwenye simu za Tecno

2hery

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2011
Posts
4,700
Reaction score
4,630
naomba kama kuna anaejua nini tatizo la tecno Kwenye whatsap aplication mana nilianza na P3 whatsap ikagoma nikanunua M5 ikagoma baada ya muda.hili si kwangu tu pamoja na baadhi ya watu wenye simu za tecno.
 
Inagoma je? Kama inazingua verification uninstall hiyo app then download na u_install upya.
 
naomba kama kuna anaejua nini tatizo la tecno Kwenye whatsap aplication mana nilianza na P3 whatsap ikagoma nikanunua M5 ikagoma baada ya muda.hili si kwangu tu pamoja na baadhi ya watu wenye simu za tecno.

p5 haina hilo tatizo
 
Inagoma je? Kama inazingua verification uninstall hiyo app then download na u_install upya.
natumia M5 nimejaribu sana ninambulia maneno haya.application can completed.
 
Sorry, off topic:
Kuna yeyote anatumia TECNO D1? Iko poa?
Nnampango nayo.
 
Naomba kama kuna anaejua nini tatizo la Tecno Kwenye whatsapp application maana nilianza na P3 whatsapp ikagoma, nikanunua M5 ikagoma baada ya muda. Hili si kwangu tu pamoja na baadhi ya watu wenye simu za tecno
Naona wakuu wengine wanasema zao ziko poa tu.
Wewe na hao baadhi itakuwa mnaibua vimeo nini?
 
This message has been deleted by
A Father.
.
What the hell
 
Last edited by a moderator:
So far tecno zisizo na mawenge na nnlizo tumia ni N3 pamoja na phantom A, A+ na A2 hazijawahi kataa app hata moja labda N3 kukutaa some apps sababu ya udogo wa Os maana ina 2.3.6 gingerbread
 
Hiyo P3 nimeitumia na ilikuwa poa kila kitu, whatsapp, viber kila kitu ilikuwa safi. Kunakitu tu itakuwa unakosea
 
nami p3 kwangu inapiga mzigo kama kawa,but simu hizi ktk weak signal of network utazichukia,kwa hiyo ndugu yangu yawezekana upo ktk eneo ambapo mtandao unashika kwa shida.jaribu kubadilisha mtandao ili uweze kufaidi app kibao toka playstore
 
ndugu sio inagoma bali inakuwa outdate kikubwa ifute iliyopo then download mpya mi ilitokea nkafanya hvyo na inakula mzigo kama kawa jaribu uone
 
Back
Top Bottom