luckyperc JF-Expert Member Joined Jan 17, 2011 Posts 495 Reaction score 46 Mar 17, 2011 #21 hapo anawaza 2 "hivi hawa Hazina wanafedha ya kulipa DOWANS"
K kinubi Senior Member Joined Nov 19, 2010 Posts 132 Reaction score 73 Mar 17, 2011 #22 ukweli tumekwama na kutoka hapa, itakuwa ngumu mnoooo
Negrodemus JF-Expert Member Joined Dec 30, 2010 Posts 2,318 Reaction score 688 Mar 17, 2011 #23 mi naona wanacheka cheka tu anapewa maelezo ye yupo mbali na hao wafanya kaz wanamawazo cjui hawajapewa mshahara au wanawaza kumaliza warud makwao coz kaz kwa cku hyo hakuna
mi naona wanacheka cheka tu anapewa maelezo ye yupo mbali na hao wafanya kaz wanamawazo cjui hawajapewa mshahara au wanawaza kumaliza warud makwao coz kaz kwa cku hyo hakuna