Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 2,435
- 5,740
Dunia haina uhaba wa fursa, bali ina uhaba wa watu wenye utayari na mtazamo sahihi.
Ukiamini kuna upungufu, utaishi kwa uoga na wivu lakini ukiamini kuna abundance, utafanya kazi kwa amani ukijua keki iliyopo ni kubwa ya kutosha kila mtu kupata kipande chake.
Ukiamini kuna upungufu, utaishi kwa uoga na wivu lakini ukiamini kuna abundance, utafanya kazi kwa amani ukijua keki iliyopo ni kubwa ya kutosha kila mtu kupata kipande chake.