Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 14,131
- 33,900
- Thread starter
- #201
Unampasia skills zako zinazowafanyaga waliopotea waibuke 🤣🤣Usiibuke..View attachment 3591962
Unampasia skills zako zinazowafanyaga waliopotea waibuke 🤣🤣Usiibuke..View attachment 3591962
Usikimbie buana 😅Munanioneya jameni. Makingereza yunu haya yatanifanya niikimbie jeiefu!
Karibu sana .
Best nijulishe kila utakapohitaji kutasfiriwa,,, kwenye ofisi yetu kingereza hakijawahi kutushinda
👍Sawa haina neno, kila kukiwa na uzi wa kingereza, nitakuwa nakujulisha. 😊
Wewe apo.Ungemtag kabisa aione 😅
Mwanaume ni kujikaza😁Sasa mimi Nina kiu tunafanyiana makusudi kweli
Si ndio🤣Unampasia skills zako zinazowafanyaga waliopotea waibuke 🤣🤣
Siwezi haya makingereza yenu.Usikimbie buana 😅
View attachment 3591977
Haya wala sio makingereza yetu,ni makingereza ya waingereza wenyewe,Siwezi haya makingereza yenu.
What about life?Not much, just chilling and thinking about life."
Sisterhood inaku- applaud 👏👏👏👏 hao watu huwa wanakera sana, ukiongeza na wale wauza vitu au nguo masokoni. Wapo too comfortable kushika shika wanawake wasiowajua na ukimkataza anaona kama unamuondolea haki yake anaanza kukutusi.Nilikuwa mzima tu wala sijatumia chochote! Nilikuwa nimetoka msibani na kina mama nina mastress yangu hapo nimemaliza chuo pia sina kazi, tunatoka stand sasa ili tuelekee nyumbani nasikia mtu nyuma ananigusa, kugeuka mpiga debe hata sikumjibu nikamwangalia tu nikawa natembea, kakazana tu usiguswe we nani, sijui nini malaya tuu😁 uweehh si nikachoka stress zangu zote nikamtwisha, kinamama wanageuka wanakuta nimempasua mtu huku damu aisee mama akaniambia punguza hasira na mawazo utakuja kusababisha matatizo makubwa tangu hapo sikuhizi sijibu wala sisikilizi mtu barabarani 🫢
Nitakufundisha 😂 😎Siwezi haya makingereza yenu.
Nilishaacha kwa sababu najijua huwa nabolt zangu sitaki kubugudhiwa , nikienda sehemu za watu wengi siwapi attention afu naweka wa mbuzi🤣Sisterhood inaku- applaud 👏👏👏👏 hao watu huwa wanakera sana, ukiongeza na wale wauza vitu au nguo masokoni. Wapo too comfortable kushika shika wanawake wasiowajua na ukimkataza anaona kama unamuondolea haki yake anaanza kukutusi.
Ila mama alikua sahihi na ni bora umeacha, hasira za kureact si nzuri!
Haya wala sio makingereza yetu,ni makingereza ya waingereza wenyewe,
Sisi ni shobo zetu tu ndio zinatufanya kuongea hiyo lugha ya watu wengine.
😀😀
Usiichezee kiingereza kaka, mimi nilishawahi kosa mke sababu sijui kutema yai 😂.Haya wala sio makingereza yetu,ni makingereza ya waingereza wenyewe,
Sisi ni shobo zetu tu ndio zinatufanya kuongea hiyo lugha ya watu wengine.
😀😀
Nimefurahi kusikia hivyo ❤️.Nitakufundisha 😂 😎