Whatever you do dont over do nice friday!!!!

Pdidy

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,657
Reaction score
37,824
Najua ni ijumaa nyingine ya furaha hasa kwa wale wanaopokea mishahara kuanziatar 18 nk na leo wameungana na kwa furaha na wale wanaosubiri mpaka tar 37 ama 40tena wanakunywa na kufurahi kwa pamoja nyama choma ...kwa kweli mungu ni wa rehemaingawa atujui familia wameacha nini maaaaaannnnnn sisemiila naamini walipovishana pete walikuwa wawili...basi sie ndgu zanguni najua watanzaniatuna kaugonjwa cha kukumbuka lakini si mbaya kukumbushana hili ...uwe makini na weekendwhatever you do dont over do italamsiki
 
Asante!
Ila umeuzunguka sana mbuyu kabla ya kuukumbatia.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…