What went wrong with Dullvan (Nini kimempata msanii wa vichekesho Dullvan)?

aaaaaaah ww we joti tangu liin ukamuona kaend fnya photoshoot studio na nguo za kike ata kama ayupo tunavoic ila dogo kazid sana kuigiza kidada io picha iende nch za watu watasema shoga na ukiweka oicha ya jot ya kike na za dulla za joti zmekaa ki comedy kbxa ss uyu jmaa daaaaah
Tatizo letu wabongo ni stress, sasa kuna tatizo gani kwa msanii kufanya sanaa yake, mbona akifanya joti hauoni tatizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo ana kipaji kizur Sana , lakn sasa anakoelekea , sio poa baadhi ya reaction za mwili zinajengwa na mazoea , baada ya mda sitashangaa anakuwa na mambo ya kike kike...ajitahdi kubalance mambo naona sa hv amekuwa extremely kuact kama mwanamke , may be anamake huge 💰 , but soon gharama yake itaonekana ....

View attachment 1369436View attachment 1369438View attachment 1369440View attachment 1369441
Huyu dogo si yuko Pemba kaolewa na Sheikh Mahmoud? Dogo toka aolewe hatoki nje, yeye ni ndani tu hata sokoni haendi.
 
Back
Top Bottom