Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 19,070
- 49,742
Ni yeye huyu? Hahahahha dadeqNasikia dogo kasha chomoa betri uko sijui ni yeye au watu wanamsingizia
Ni wivu tu in gwaji voice View attachment 1423065
Ni yeye huyu? Hahahahha dadeqNasikia dogo kasha chomoa betri uko sijui ni yeye au watu wanamsingizia
Ni wivu tu in gwaji voice View attachment 1423065
Nasikia dogo kasha chomoa betri uko sijui ni yeye au watu wanamsingizia
Ni wivu tu in gwaji voice View attachment 1423065
😂😂😂watu wanakula kisamvu mzee ukiona mtoto wako anaanza tabia za kidem sijui kuigiza icho sio Kipaji ni dalali za USHOGA kamata chapa fimbo nyingiNi yeye huyu? Hahahahha dadeq
mkuu na wale tunaopenda kula mtandao pendwa tunaruhusuwa ku-commentUkiwa rijali hata kama ni kazi(kutafuta ugali) kwa mwanaume kamili kuna baadhi ya vitu utavishindwa. Huyu tangu muda niliona kunayo shida. Hata kama hiyo video anasingiziwa.
Ni yeye huyu? Hahahahha dadeq
Sio yeye aliyemchafua kakata picha ya mdomo makusudi sababu huyo shoga wa kenya kafanana midomo na dulvan
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo letu wabongo ni stress, sasa kuna tatizo gani kwa msanii kufanya sanaa yake, mbona akifanya joti hauoni tatizo.
Mkuu style anayofanya joti na huyu unaona ni sawa? Joti unaona kabisa hii ni kichekesho maana hata mavazi na aina za make up zinaonyeshs hivyo, ila huyu dullvan kama humjui unaweza tongoza kabisa...
Huyu dogo si yuko Pemba kaolewa na Sheikh Mahmoud? Dogo toka aolewe hatoki nje, yeye ni ndani tu hata sokoni haendi.Dogo ana kipaji kizur Sana , lakn sasa anakoelekea , sio poa baadhi ya reaction za mwili zinajengwa na mazoea , baada ya mda sitashangaa anakuwa na mambo ya kike kike...ajitahdi kubalance mambo naona sa hv amekuwa extremely kuact kama mwanamke , may be anamake huge 💰 , but soon gharama yake itaonekana ....
View attachment 1369436View attachment 1369438View attachment 1369440View attachment 1369441
Yaani huoni tatizo?Tatizo liko wapi, hiyo ni sanaa tu, ila hisia zako zilikokupeleka wewe ndo mwenye tatizo
ohooNasikia dogo kasha chomoa betri uko sijui ni yeye au watu wanamsingizia
Ni wivu tu in gwaji voice View attachment 1423065