What sorround you can shape you

TZ-1

JF-Expert Member
Sep 28, 2020
3,220
5,448
Happy new year!!

Mambo mengi ambayo huwaponza wadada ndani ya jamii zetu ni
Makuzi
Malezi
Tamaa

Kwa sisi vijana tujitahidi kuwalea watoto wetu wa kike tukiwafunza kazi na kuwapa malezi ambayo yatapunguza hali ya kutamani offer kutoka kwa wanaume.

Binti ukifika umri wa miaka 24+ abadani wewe sio tena wakuonewa huruma kwa namna maish utapo amua kuzaa bila ratba

Baada ya kukutana na mada nyingi ndan ya jamii forum na na kwenye social media zngne zinajadili maendeleo ya wanawake especially single mothers huw tunatupiwa lawama sana sisi wanaume ila kwa mtazamo wangu upo hiv ...

1:- kwann wanawake mara zote wakipitia msoto wa kulea watoto lawama hutupiw mwanaume
NB:- Mimi nilishakuw na mwanamke then akapat ujazto tukiw ndan ya mahusiano na kuzaa mtoto wa kike lakn mtoto huyo tulilea vdumu viwili bila kujua ila finally mimi nilikaa pemben nilipogundua

2:-Unazn wao binafs sio chanzo cha matatzo yao binafs
(Ameamua tuu kukubea mimba na haupo Tayar) baadae aanze kulalama ametelekezwa y

3:- Kwann mara zote wao ndio huonekan wakuhurumiwa na kuckilzwa peke yao tuu

4:- Why mwanAume atoe huduma za malez kwa Mtoto for 100% while haki zngne za mali na vpato ziend 50/50% ( mwanamke hapasw kutoa gharama za kutunz mtoto)

5:- kwann divorce inapotea wazaz wasigawane mari na kugawan majukumu ya kimalez ya watoto sawa sawa (kam wapo wa nne kila mmoja achukue watoto wa 2 awaleee kwa gharama zake ata kama watakuw wote upande mmoja lakn upande watao lelewa mmoja achangia gharama za malez za watoto hao wawili kwa 100%)

______________________________________________


Wanawake ni viumbe hatar san tuache kuwaonea huruma tusadiane kam binadamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom