Mbagala stendi
JF-Expert Member
- Nov 8, 2020
- 343
- 407
Asalam allaykum, Bwana yesu asifiwe,
Habarini nyote mnaoendelea kupigania katika ndoto zenu.
Ungana nami katika maada fupi isemayo ni "kitu gani kina kudrive katika maisha yako"
"Driving force" ni msukumo wa kasi ambao kitu fulani kinavutwa kwa speed tofauti tofauti kutegemeana na mazingira na muda wa msukumo katika kitu hicho.
Kila Mwanadamu yuko na msukumo huo katika maisha yake... tofauti ni mwendokasi (Speed) ya msukumo huo kwani utofautiana.
Nguvu ya msukumo yawezakuwa ni kwasabbu ya matatizo unayokumbana nayo kila siku hukufanya huendelee kupambana kuondoa tatizo hilo.
"Tafuta pesa" huu ni msemo wenye maana kubwa kwa wenye malengo matokeo yake kwa sasa wengi uichukulia ni lugha ya mitandaoni hasa Tiktok & instagram
Leo napenda nikupe hizi 5 Tips naweza sema ni nguvu za misukumo katika maisha.
Driven by Fear (Uwoga)
Wanadamu wengi tumekuwa tukiogopa kufanya jambo fulani kwa sababu ya uoga wetu binafsi katika nafsi zetu hii inatokana na traumatic exprience, unrealistic expectations,growing up in a high control home, even genetic prediposition mfano ulemavu wowote, Shortness & tallness statue. Watu hawa wanaoendeshwa na mshukumo wa UOGA katika maisha wanajikuta katika dimbwi la kukosa fursa na maarifa mbalimbali kwa sababu ya kuhofia kitu fulani mwishoe hujikuta kushindwa kufikia mafanikio katika maisha yao. Hii utokana na ukosefu wa mitazamo chanya na yenye kuleta tija baadala ujikuta waki play safe na kuendelea ku maintain their status. Vijana wengi wanalalamika kuhusu mapenzi wengi ni waoga wa kumove on au kuanzisha mahusiano mapya, Uoga wa kuangalia fursa nyingine za kusaka ajira na biashara.
Driven by Materialism (tangible)
Wengi wamebeba fikra finyu ya kuwa na matamanio katika mafanikio yao yamebebwa na mitazamo ya kuwa na vitu au kitu fulan cha thamani. Kijana wa leo akipata simu inayoitwa Iphone wanahisi maisha yenyewe ndio haya hii hutokana na ukosefu wa misconception katika mawazo wanadhani kuwa na vitu vingi au kitu fulan cha thaman ndio chanzo cha kuwa n furaha, kuwa muhimu zaidi katika jamaii au Kuwa more secure but hizi zote ideas tatu hazina mashiko. Kwa sababu Possesion only provide temporary happiness lakin vitu hubadirika kila majira and eventually we become boredš„¹ with them then we want somthing bigger, newly and better version than old one , hii itasababisha upotevu wa resources kwa ajiri ya kuendana na fashion. katika dunia ya leo hauwez kuendana na fashion kila kukicha new version is inovated.
Driven by Resentment and anger
Some resentment-driven people "clam up" and internalize their anger while others "blow up" and exploide it onto others.
Those who have hurt u in the past cannot continue to hurt you now unless u hold them... your past is past nothing will change accept and move on unajiumiza wewe mwenyewe with your bitterness accept and learn from it.
Driven by Guilt
Most spend their entire lives running from regrets and hiding their shame which manipulated by their memories... continue to handle their past to control their future mara nyingi hizi huwa panikisha na kujikuta kushindwa kuyafikia malengo, hii tumeona wengi hujitoa uhai na kupoteza maisha.
Driven by the need for approval
They allow their expectation from others to control their lives. Most vijana husukumwa na peer pressure na kujikuta wakiingia katika maisha yasiofaa au yenye ushindani usio na sababu ya msingi always they worried about what others they might think about them... kwa bahati mbaya those who follow crowd they get lost.
Hitimisho: Misikumo huleta hamasha katika maisha na kuyafanya maisha yawe yenye kuleta maana na yenye kuwa na point A to point B yaani direction, without purpose life is trivial and pointless.
Habarini nyote mnaoendelea kupigania katika ndoto zenu.
Ungana nami katika maada fupi isemayo ni "kitu gani kina kudrive katika maisha yako"
"Driving force" ni msukumo wa kasi ambao kitu fulani kinavutwa kwa speed tofauti tofauti kutegemeana na mazingira na muda wa msukumo katika kitu hicho.
Kila Mwanadamu yuko na msukumo huo katika maisha yake... tofauti ni mwendokasi (Speed) ya msukumo huo kwani utofautiana.
Nguvu ya msukumo yawezakuwa ni kwasabbu ya matatizo unayokumbana nayo kila siku hukufanya huendelee kupambana kuondoa tatizo hilo.
"Tafuta pesa" huu ni msemo wenye maana kubwa kwa wenye malengo matokeo yake kwa sasa wengi uichukulia ni lugha ya mitandaoni hasa Tiktok & instagram
Leo napenda nikupe hizi 5 Tips
Wanadamu wengi tumekuwa tukiogopa kufanya jambo fulani kwa sababu ya uoga wetu binafsi katika nafsi zetu hii inatokana na traumatic exprience, unrealistic expectations,growing up in a high control home, even genetic prediposition mfano ulemavu wowote, Shortness & tallness statue. Watu hawa wanaoendeshwa na mshukumo wa UOGA katika maisha wanajikuta katika dimbwi la kukosa fursa na maarifa mbalimbali kwa sababu ya kuhofia kitu fulani mwishoe hujikuta kushindwa kufikia mafanikio katika maisha yao. Hii utokana na ukosefu wa mitazamo chanya na yenye kuleta tija baadala ujikuta waki play safe na kuendelea ku maintain their status. Vijana wengi wanalalamika kuhusu mapenzi wengi ni waoga wa kumove on au kuanzisha mahusiano mapya, Uoga wa kuangalia fursa nyingine za kusaka ajira na biashara.
Wengi wamebeba fikra finyu ya kuwa na matamanio katika mafanikio yao yamebebwa na mitazamo ya kuwa na vitu au kitu fulan cha thamani. Kijana wa leo akipata simu inayoitwa Iphone wanahisi maisha yenyewe ndio haya
Some resentment-driven people "clam up" and internalize their anger while others "blow up" and exploide it onto others.
Those who have hurt u in the past cannot continue to hurt you now unless u hold them... your past is past nothing will change accept and move on unajiumiza wewe mwenyewe with your bitterness accept and learn from it.
Most spend their entire lives running from regrets and hiding their shame which manipulated by their memories... continue to handle their past to control their future mara nyingi hizi huwa panikisha
They allow their expectation from others to control their lives. Most vijana husukumwa na peer pressure na kujikuta wakiingia katika maisha yasiofaa au yenye ushindani usio na sababu ya msingi always they worried about what others they might think about them... kwa bahati mbaya those who follow crowd they get lost.
Hitimisho: Misikumo huleta hamasha katika maisha na kuyafanya maisha yawe yenye kuleta maana na yenye kuwa na point A to point B yaani direction, without purpose life is trivial and pointless.