Ablessed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 4,616
- 3,502
Ni kweli sisi wazazi wakisasa tunalemaza sana watoto . Utakuta binti wa 14yrs hawezi hata kupika wali na maharage au kuunga chai. Namshukuru Mungu amenisaidia kulijua hili mapema manake wanakula mtulinga hapa kama sio wangu vile. Nimeongeza kitu kupitia post hii ngoja nikiwa dar ntajaribu kuwapandisha public transport siku moja .