Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,823 93,519 Sep 10, 2012 #2 mbona kama yupo kwenye harakati za kufutafuta vumbi!
Mkali Tozz JF-Expert Member Aug 9, 2012 278 80 Sep 10, 2012 #3 watu8 said: mbona kama yupo kwenye harakati za kufutafuta vumbi! Click to expand... Vumbi si inafutwa sehemu ambazo ni Exposed kama usoni na mikononi, Vumbi gani hilo lenye pepo?
watu8 said: mbona kama yupo kwenye harakati za kufutafuta vumbi! Click to expand... Vumbi si inafutwa sehemu ambazo ni Exposed kama usoni na mikononi, Vumbi gani hilo lenye pepo?
Dumelambegu JF-Expert Member Jan 28, 2011 1,052 257 Sep 11, 2012 #4 Njaa mbaya sana. Unaweza kula hata nyasi ukidhani ni mboga majani.
LexAid JF-Expert Member Jul 5, 2011 1,931 772 Sep 11, 2012 #5 Anasoma Label na size ya gauni tuu mkuu. Mawazo yako ndio yanakupeleka huko unakofikiria!