Kiboko.
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 2,891
- 1,211
Salaam wanajamvi,
Hili limetokea maeneo ya Airwing Banana, wezi wa magar wanavaa sare za askar wa usalama barabara majira ya usiku na reflector wanasimamisha gar lako kama kuna kitu wanataka kukagua ile umesimama tu wanakuja wenzao toka mafichon kukupiga na kukutoa ndan ya gari, limemtokea mke wangu jana usku kilichosaidia gar haikuwa na mafuta ya kutosha likazimika njian na kulitelekeza barabara ya machimbo.. Jeshi la polisi tuelezen wazi muda wenu ni upi ili tusijeonekana tunakiuka kusimama kukwepa wez kma hivi.
Hili limetokea maeneo ya Airwing Banana, wezi wa magar wanavaa sare za askar wa usalama barabara majira ya usiku na reflector wanasimamisha gar lako kama kuna kitu wanataka kukagua ile umesimama tu wanakuja wenzao toka mafichon kukupiga na kukutoa ndan ya gari, limemtokea mke wangu jana usku kilichosaidia gar haikuwa na mafuta ya kutosha likazimika njian na kulitelekeza barabara ya machimbo.. Jeshi la polisi tuelezen wazi muda wenu ni upi ili tusijeonekana tunakiuka kusimama kukwepa wez kma hivi.