Tamati
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 1,085
- 1,956
Nikiwa hata bado sijamaliza mwezi mmoja na hata bado sijaanza kuona faida ya haka kabiashara kangu cha mgahawa.
Nimerudishwa jalalani kuibuka tena hadi nitumie nguvu za ziada. Wezi wamevamia kakibanda wamefyatua kufuli likafunguka na kuiba masufuria yangu yote, chupa ya chai na hotport vyenye thamani ya jumla ya Tsh 82,200/=
Daahh, katika maisha tunategemeana, ukipitia njia ya halali mwenzio anapitia njia ya haramu kukurudisha nyuma.
Mungu ni mwenza ngoja nianze kujichanga tena ili nijinasue jalalani kidogo kidogo.
Nimerudishwa jalalani kuibuka tena hadi nitumie nguvu za ziada. Wezi wamevamia kakibanda wamefyatua kufuli likafunguka na kuiba masufuria yangu yote, chupa ya chai na hotport vyenye thamani ya jumla ya Tsh 82,200/=
Daahh, katika maisha tunategemeana, ukipitia njia ya halali mwenzio anapitia njia ya haramu kukurudisha nyuma.
Mungu ni mwenza ngoja nianze kujichanga tena ili nijinasue jalalani kidogo kidogo.