Wanaume wana matamanio na
wanawake wanamatanio sasa inakuwaje wanaume ndo wanaotamani sana
wanawake?
umri wako tafadhali ....
kwan pepa zishaisha???
Zinaisha wik hii
No comment
No comment ni kwanini MEMU (Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi);
Imeamua kuanzisha daraja la tano badala ya sifuri,
Kwanini imekuwa hivyo?
Bazazi
Oky basi ndo maana. Kwan mwenye gari na mwenye parking nani anayemfuata mwenzie???
umri wako tafadhali ....
na division mkuu
Binamu haya maswali si wawe wanaulizana wao wenyewe break time
binamu unajua hawa madogo wanaleta mambo ya kiFB huku wanakera mbaya....
If a woman says ''NO'' she means ''YES".....