kyalankota
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 2,594
- 1,463
Ukishajijua wewe ni mchepuko hutakiwi kuwa na wivu hata kidogo, tambua umepewa hisani tu! Mambo ya kumfuatilia mtu wakati ushajua ana mtu wake wa permanent ya nini! Unampigia simu usiku wa manane ili iweje? Unapekua simu yake ili iweje?
Jiangalie!
Jiangalie!