Mzee wa loliondo, ni dhana na mantiki ya hoja yako, wanajamii forum wana shahada yakinifu zenye dhana ya kuwafanya wawe wapembuzi yakinifu, huku wakiongozwa na utatu uliokamilifu yaani BUSARA , HEKIMA na MATENDO.
Mkuu JF ni ya wote waliosoma na wasiosoma,swali lako la ubaguzi haujawaona wasio na degree kwenye nyuzi za tcu? Mie nina shahada ya uzamili katika uzamivu.
Mkuu JF ni ya wote waliosoma na wasiosoma,swali lako la ubaguzi haujawaona wasio na degree kwenye nyuzi za tcu? Mie nina shahada ya uzamili katika uzamivu.