hakuna cha upupu wa uharo tunaahirisha kwa sababu zetu za msingi sio za huyo juhaNdio nini sasa umefanya mpaka tunakimbia viota vyetu na kuahirisha ratiba zetu nyingi?
Sasa unadhani tutachaguanaje kwa huu upuupu ulioumwaga?
Sasa kila mtu anawashwa.. Nyumbani hapakaliki kijiweni hapatoshi
Na ulivyo mbaya umekaa kimya tuli unatuchora tu na popcorn zako
Kama hii ndio single touch double manifestation basi tumekoma.. Hatutaonja sumu tena! Wala hatulambi wembe tena
Wengine tunashikana mashati.. Wengine tunaserebuka
View attachment 3413241
View attachment 3413240
HahahaView attachment 3413247
Kwishhhaaaaaaaa
Taabu za DuniaView attachment 3413247
Kwishhhaaaaaaaa
DAH hofu ya chama kugawanyika tayari isha waingia
Kwishaaaaaa
Bro Alex on da beats yoow
Mzee wangu wewe endelea kula ukwaju kwa utulivu hapo ulipo. Safari hii Kijani wamejikoroga vibaya sana. Sijui mnatokaje tokaje hapa! Mmewajazaja wahuni kwenye chama. Ona wanavyowavurugeni sasahakuna cha upupu wa uharo tunaahirisha kwa sababu zetu za msingi sio za huyo juha
Huyu ni Tlaatlaah akiomba nafasi ya ubunge kwa wajumbe.View attachment 3413247
Kwishhhaaaaaaaa
Unamaanisha Okitoba hawatatiki tena kama walivyotungangazia?Ndio nini sasa umefanya mpaka tunakimbia viota vyetu na kuahirisha ratiba zetu nyingi?
Sasa unadhani tutachaguanaje kwa huu upuupu ulioumwaga?
Sasa kila mtu anawashwa.. Nyumbani hapakaliki kijiweni hapatoshi
Na ulivyo mbaya umekaa kimya tuli unatuchora tu na popcorn zako
Kama hii ndio single touch double manifestation basi tumekoma.. Hatutaonja sumu tena! Wala hatulambi wembe tena
Wengine tunashikana mashati.. Wengine tunaserebuka
View attachment 3413241
View attachment 3413240
ha ha nachoipenda tanzania ni uhusiano kama huu,kila siku huwa namshukuru baba yangu kuja kuzaa tanzania,asante sana bro,Mungu akupe kila baraka,siku una shida yoyote nijulisheMzee wangu wewe endelea kula ukwaju kwa utulivu hapo ulipo. Safari hii Kijani wamejikoroga vibaya sana. Sijui mnatokaje tokaje hapa! Mmewajazaja wahuni kwenye chama. Ona wanavyowavurugeni sasa