Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
Wadau wa masebene nadhani mtakubaliana nami kuwa katika kizazi cha muziki wa Congo saizi huwezi kuzungumza bila kumtaja Werrason au Fally Ipupa.
Hawa wote ni wakali mbaya, ukianza na Werrasson album yake ya Techno Malewa imewapagaisha wengi.
Fally Ipupa nae ni kitisho ukichukua baadhi ya nyimbo zake kama Sopeka n.k zinazidi kumuweka juu.
Watu hawa wanafanana kitu kimoja, wote ni wakali wa live perfomance.
Hapo ndipo napenda tujikite zaidi. Licha ya kuwa na nyimbo nzuri lakini wanapokuwa live hutisha zaidi.
Baada ya kuwapamba kila mmoja nani zaidi kati yao?
Ni Werrasson Ngiama au Fally Ipupa?
Karibuni wadau wa masebene.
Nawasilisha.
Hawa wote ni wakali mbaya, ukianza na Werrasson album yake ya Techno Malewa imewapagaisha wengi.
Fally Ipupa nae ni kitisho ukichukua baadhi ya nyimbo zake kama Sopeka n.k zinazidi kumuweka juu.
Watu hawa wanafanana kitu kimoja, wote ni wakali wa live perfomance.
Hapo ndipo napenda tujikite zaidi. Licha ya kuwa na nyimbo nzuri lakini wanapokuwa live hutisha zaidi.
Baada ya kuwapamba kila mmoja nani zaidi kati yao?
Ni Werrasson Ngiama au Fally Ipupa?
Karibuni wadau wa masebene.
Nawasilisha.