Ni kawaida ya Watanzania kuingilia mambo kiushabiki bila kuwa ya kufanya utafiti,uchaguzi wa Kenya eti Ccm walikuwa wakisema kwamba wanamshangilia Uhuru Kenyata,ni siasa za kijinga ambazo hamna nchi yoyote duniani inayofanya vitu kama hivyo isipokuwa Tanzania tu chini ya uongozi wa ccm
Viongozi hawahawa wenye akili zile zile wakaambiwa kwamba msiwaruhusu hawa viongozi wa Rwanda na Burundi kuingia kwenye EAC lakini wakajidai wajuaji zaidi kuwakubalia ,kwanza bado amani haijatengemaa katika nchi hizo lakini wakatetea saana
Viongozi hawa hawa wakaandika barua ICC eti wanamtetea Ruto kwamba hiyo mahakama irudi Tanzania au Kenya,mnajidai mna huruma wakati hawana muda na wewe?
Viongozi wa hovyohovyo wanaofanya mambo ya hovyohovyo wanajipendekeza
Viongozi hawahawa wenye akili zile zile wakaambiwa kwamba msiwaruhusu hawa viongozi wa Rwanda na Burundi kuingia kwenye EAC lakini wakajidai wajuaji zaidi kuwakubalia ,kwanza bado amani haijatengemaa katika nchi hizo lakini wakatetea saana
Viongozi hawa hawa wakaandika barua ICC eti wanamtetea Ruto kwamba hiyo mahakama irudi Tanzania au Kenya,mnajidai mna huruma wakati hawana muda na wewe?
Viongozi wa hovyohovyo wanaofanya mambo ya hovyohovyo wanajipendekeza