Wenzangu mnaopenda perfumed shower gel,someni hapa!

kerubi afunikaye

JF-Expert Member
May 20, 2013
1,183
1,057
Nililetewa zawadi ya shower gels za Axe toka U.S na shem wenu.Nikatokea kuzipenda sana kutokana na harufu yake nzuri,si mnajua tena,pale kwenye label yake imeandikwa UNLIMITED FEMALE ATTENTION maskini sijui shem wenu hakuisoma vizuri?!nikawa naogea asubuhi na kujipaka kidogo mikononi na kwenda ofisini!kweli bwana,watu wa mwanzo kunotice harufu ile nzuri walikuwa staff wa kike pale ofisini.Nikaanza kufanya research ni maduka gani hapa mjini naweza kuzipata zile gels ili niachane kabisa na haya "marevola" yetu ya kkoo!Ghafla baada ya kama wiki mbili za matumizi ya hii axe shower gel nilianza kuwashwa sana maeneo ya miguuni hasa nikiwa nimetoka kuoga.Sikugundua mapema,nikaendelea!hali ilizidi kuwa mbaya nikawa nawashwa na kujikuna hadi napata michubuko.Niliamua kwenda kwa daktari na kumweleza.Akaniuliza naogea nini nikamtajia.Akaniambia nimpelekee ile shower gel.Nilipompelekea na kuisoma tu ingredients zake akaniambia niache mara moja matumizi ya ile kitu kwani ina chemicals nyingi ambazo huenda mojawapo iko allergic na ngozi yangu.Sikuridhika,kutokana na "mahaba" niliyokuwa nayo kwa harufu ile nzuri ya Axe.Nikawapigia simu jamaa zangu mbalimbali wa huko ughaibuni ambako vitu hivi vinatumika sana na wengineo wa hapa nyumbani,wote wakanitahadharisha kuwa kesi hizi za skin irritation baada ya matumizi ya shower gels ni nyingi sana huko kwao.Nikaamua kufanya karesearch kangu mtandaoni na kuprove kuwa kweli hizi gels zinawaletea watu wengi muwasho wa ngozi.Zilizo mbaya zaidi ni zile zenye fragrances(perfumes) na alcohol pamoja na chemicals nyingi(na kwa kweli hizi ndio hunukia kweli).Hizo chemicals huondoa mafuta ya asili ya ngozi na kuifanya iwe kavu kitu kinachosababisha matatizo baada ya matumizi ya muda mrefu.Likanishuka shuuu!nikazikumbuka zile revola zangu nilizozitupa huku natukana!Nimeacha kutumia zile gels na ngozi imeacha kuniwasha kabisa.Si kwa sababu ngozi yangu ni delicate sana na iko allergic,no,ni kwa sababu haya madude yetu ya siku hizi yamejaa chemicals nyingi sana!Shem wenu amesikitika manake na yeye ilikuwa nikitoka kuoga tu basi anataka tukae kiti kimoja!Nikamwambia ptuuu,kama kununa anune tu,hiyo harufu siitaki tena,watu wanakusifia unanukia huku ngozi inawaka moto,ujinga mtupu!Wenzangu na mie naamini mmenipata!Chukueni tahadhari!Hivi vitu vyetu vya kisasa hivi...hebu nijiondokee mie,shauri zenu mkiendelea,mie nimeacha,niko safi kabisa na "revola" zangu tena nataka nitafute arovela kabisaa!
 
Huyo ni sir God tu alikuadhibu, we mtu una mke alafu unataka unlimited female attention
 
Huyo ni sir God tu alikuadhibu, we mtu una mke alafu unataka unlimited female attention

dah,kabisa mkuu,lakini yeye mwenyewe ndo kaleta hiyo zawadi.Anyway,lengo langu kuu ni kutahadharisha watanzania wenzangu kuhusu hizi shower gels na shampoo,hivi vitu vina chemicals nyingi sana,si salama kwa ngozi zetu,hebu angalia hizi chemicals ndani ya axe shower gel:sodium laureth sulfate,sodium chloride,fragrance,cocamide MEA,PPG-9,Citric Acid,Tetrasodium EDTA,Methylchloroisothiazolinone,Methylisothiazolinone,Red 33,Yellow 5 na hapo najua kuna vingine hawasemi kama zile chemicals wanazoweka ili hii compound(gel) isiharibike kwa muda mrefu,wanazotumia kwenye industrial processes etc!ni hatari tupu kwa kweli!
 
dah,kabisa mkuu,lakini yeye mwenyewe ndo kaleta hiyo zawadi.Anyway,lengo langu kuu ni kutahadharisha watanzania wenzangu kuhusu hizi shower gels na shampoo,hivi vitu vina chemicals nyingi sana,si salama kwa ngozi zetu,hebu angalia hizi chemicals ndani ya axe shower gel:sodium laureth sulfate,sodium chloride,fragrance,cocamide MEA,PPG-9,Citric Acid,Tetrasodium EDTA,Methylchloroisothiazolinone,Methylisothiazolinone,Red 33,Yellow 5 na hapo najua kuna vingine hawasemi kama zile chemicals wanazoweka ili hii compound(gel) isiharibike kwa muda mrefu,wanazotumia kwenye industrial processes etc!ni hatari tupu kwa kweli!

Mkuu hawawezi kuacha kuandika ingredient yoyote iliyotumika kama preservative mf hapo juu kuna hiyo Tetrasodium EDTA.Kama wataficha ingredient yoyote katika bidhaa yao, basi haiwezi kukubaliwa kuingia sokoni unless iingie kwa njia zisizo halali

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Mkuu hawawezi kuacha kuandika ingredient yoyote iliyotumika kama preservative mf hapo juu kuna hiyo Tetrasodium EDTA.Kama wataficha ingredient yoyote katika bidhaa yao, basi haiwezi kukubaliwa kuingia sokoni unless iingie kwa njia zisizo halali

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

ok,na zile wanazotumia kuhifadhia viwandani huwa wanaziandika mkuu?je,kama hizi chemicals ni salama kwa nini watu wengi(si wote ila wengi) wanalalamika kuwashwa na ngozi baada ya matumizi ya shower gels?
 
ok,na zile wanazotumia kuhifadhia viwandani huwa wanaziandika mkuu?je,kama hizi chemicals ni salama kwa nini watu wengi(si wote ila wengi) wanalalamika kuwashwa na ngozi baada ya matumizi ya shower gels?

kuna vitu nataka kuviandika hapa lakini naona ni hekima nikaanza na post yenye definition ya baadhi ya terminology muhimu ntakazotumia.naomba nitumie English kwani itaniwia vigumu kutafsiri technical things kwa kiswahili.Nitatoa definition ya CANCER,CARSINOGEN,CHEMICAL SYNTHESIS,ENDOCRINE SYSTEM na ESTROGEN.Naanza na CARCINOGEN.CARCINOGEN is any substance that is an agent directly involved in causing cancer.This may be due to their ability to damage the genome or to the disruption of cellular metabolic processes.Several radioactive substances are considered carcinogens.There are also non radioactive carcinogens e.g inhaled asbestos,dioxins and tobacco smoke.CANCER is any disease in which normal cells are damaged and do not undergo programmed cell death(apoptosis) as fast as they divide via mitosis. Carcinogens may increase the risk of cancer by altering cellular metabolism or damaging DNA directly in cells,which interferes with biological processes,and induces the uncontrolled,malignant division,ultimately leading to the formation of tumors.ENDOCRINE SYSTEM refers to the collection of cells,glands and tissues of an organism that secrete hormones directly into the bloodstream to control the organism's physiological and behavioral activities.ESTROGEN are hormones that are important for sexual and reproductive development,mainly in women.They are involved in the onset of puberty,playing a role in development of secondary sex characteristics such as breasts,and pubic and armpit hair.It also helps regulate the menstrual cycle.Men produce estrogen as well but at lower levels than women.In men,estrogen is thought to affect sperm count.CHEMICAL SYNTHESIS is a purposeful execution of chemical reactions to obtain a product,or several products.This happens by physical and chemical manipulations usually involving one or more reactions.Baada ya maelezo haya sasa naweza kutuma post ifuatayo nadhani mtaielewa.Mnisamehe natumia mchina,msilalamikie paragraphs please.
 
Most of these shower gels and liquid hand soap have the same basic six groups of ingredients to provide effective cleansing,lathering and moisturizing.These include:WATER;typically the main ingredient listed in bath and shower gels.Functions as the liquid solvent for the other ingredients.EMULSIFIERS;Act to increase foam and provide thickening for bath gels,giving them their gel-like consistency.DERTEGENTS;Used to clean the skin.PRESERVATIVES;Extend the shelf life of bath gels and liquid soaps and prevent microbial contamination.FRAGRANCE;Most shower gels contain fragrance to cover up the chemical smell of other ingredients and to help make using the shower gel a pleasing experience.Most fragrances used in shower gels are synthetic chemicals.Some may be derived from essential oils and natural plant extracts.Certain ingredients can potentially cause problems for your skin when applied as a liquid or bar soap and are best avoided.The 7 ingredients topping the "To avoid" list include...SODIUM LAURYL/LAURETH SULFATE(SLS/SLES);is a surfactant,detergent and emulsifier used in thousands of cosmetic products,as well as in industrial cleaners.Present in nearly all shampoos,toothpastes,body washes,cleansers,liquid hand soaps,laundry detergents,bath oils and bath salts.Although SLS originates from coconuts,the manufacturing process results in SLS being contaminated with 1,4 dioxane,a carcinogenic byproduct.SLS is the sodium salt of lauryl sulfate,and is rated by the Environmental Working Group's(EWG) Skin Deep Cosmetics Database as a "moderate hazard".SLS breaks down the skin's moisture barrier,easily penetrates the skin,and allows other chemicals to penetrate by increasing skin permeability by approximately 100-fold.Combined with other chemicals,SLS becomes a "nitrosamine",a potent class of carcinogen.Research studies have linked SLS to skin and eye irritation,organ toxicity,reproductive and developmental toxicity,endocrine disruption,neurotoxicity,cellular changes,possible mutations, and cancer.The second ingredient to avoid is DIOXANE;Common in a wide range of products as part of PEG,Polysorbates,Laureth,and ethoxylated alcohols.These compounds are usually contaminated with high concentrations of highly volatile 1,4-dioxane which is easily absorbed through the skin.This "probable carcinogen to humans" substance has received a "high hazard" rating from EWG's Skin Deep and is especially toxic to your brain,central nervous system,kidneys,and liver.A synthetic derivative of coconut,watch for misleading language on labels,stating "comes from coconut".Avoid any product with indications of ethoxylation,which include:"myreth","oleth","laureth","ceteareth",any other "eth","PEG","Polyethylene","polyethylene glycol","polyoxyethylene"or "oxynol",in ingredient names.Naomba nirudi nyumbani jamani tutamalizia hizo ingredients nyingine nikifika.
 
Umesoma na ingredients za sabuni ya revola?
hapo hujanipata aisee. Showergel ndo mpango mzima.
 
Pole sana kwa yaliyokukuta nadhani na wengine tumepata cha kujifunza japo kidogo kumbe"Usiache mbachao kwa msala Upitao"
 
Back
Top Bottom