wenyeji jografia ikoje huku

mtembeaji

New Member
Feb 24, 2012
1
0
nimekuwa nikipita jamvini na kusoma michango ya kusisimua, naomba sasa nami kuwa mchangiaji.
 
hali ya hewa ni nzuri hasa kwenye jukwa la mmu, kuna upepo unavuma kwa kasi kubwa jukwaa la siasa, jihadhari na propaganda za magamba, udini hauna nafasi kabisa ukiondoa wachochezi wachache, soma na kuelewa sheria na kanuni za jamvi letu, HUMU HAOGOPWI MTU!!!!!!!!!!! karibu mwaego
 
Karibu but kama na wewe gamba inabidi ujitoe 2 na urudi fcbk koz humu ni mahali pa makamanda wapiganaji ktk jamii yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…