Ningeelewa zaid kama wangesema 'washirika waliozaa pamoja' maana je kama mwanamke aliwahi kuzaa na mtoto yuko kijijini, au mwanaume naye ana mtoto tayari, wakakutana kila mmoja ana mtoto, wtakataliwa kwenda madhabahuni, najaribu kutafakari, dhana ni kuishi kinyumba au kuzini maana kuzini si lazima uzae, kuna watakaowakubalia waende madhabahuni kumbe na wao kila weekend huishi kinyumba, comes weekday kila mmoja karudi kwake. Au tafsiri ni kuwa waliozaa wamezini zaidi au wameonesha ushahidi wa kuzini...nawaza kwa maandishi! nisaidieni!Kanisa lapiga marufuku ndoa wanawake waliozaa.
Kanisa la kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), limepiga marufuku kuanzia sasa ufungishaji ndoa madhabahuni kwa wanawake waliozaa.
Aidha kanisa hilo ambalo ni moja ya makanisa mawili makubwa zaidi Nchini limepiga marufuku pia wanawake wenye ujauzito kufunga ndoa madhabahuni kwa maelezo kwamba kufanya hivyo ni kukiuka maandiko ya Mungu.
Kutokana na uamuzi huo wa Kanisa, kuanzia sasa wanawake wenye sifa hizo hawataruhusiwa kukaa mbele madhabahuni na kufunga ndoa wakiwa wamevaa shela.
Badala yake, imeelezwa ndoa zinazohusu maharusi wanawake wa namna hiyo zitafungwa katikati ya ibada ya kawaida Wakiwa wamekaa na waumini wengine.
Imekuwa kawaida sasa kuona wanawake wenye ujauzito au walishazaa watoto baada ya kuishi na wanaume kinyumba au wakiwa wajawazito wakifunga ndoa madhabahuni.
Kwa mujibu wa tangazo wa tangazo lililosomwa kwenye sharika mbalimbali za KKKT hivi karibuni ni marufuku Wachungaji kufungisha ndoa za aina hiyo.
Kwa hili itabidi muinvent "electronic virginity test" kwa genda zote, uzinzi si uzazi, bikira hamna kabla ya ndoa usipande madhabahuni. Only then mtakuwa fair!..tufafanulie pia 'kitubio' au 'maungamo' yanaplay part gani kwenye mchakati huu kimaandiko tafadhali!.
Je kwa tangazo hili, haina maana kwamba ndoa zote zilizofungwa madhabahuni za wanawake ama wenye mimba au waliokwisha zaa zimetenguliwa?
Hata hivyo naunga mkono tangazo hili kwani ilikuwa ni aibu na ukipofu wa kiroho kuuridhia na kuubariki uzinzi mimbarani (siamini kama ni madhabahuni).
Kwa hili itabidi muinvent "electronic virginity test" kwa genda zote, uzinzi si uzazi, bikira hamna kabla ya ndoa usipande madhabahuni. Only then mtakuwa fair!..tufafanulie pia 'kitubio' au 'maungamo' yanaplay part gani kwenye mchakati huu kimaandiko tafadhali!
Soma vizuri, nimetumia 'invent' na pia nimesema genda zote!..tafakari!JE NA MWANAUME NAYE ATAPIMWAJE??? AU NI SHSERIA INAYOHUSU WANWAKE TU AMBAO WANAZINI KABLA YA NDOA.
NDIO MAANA HATA YESU ALISEMA "....ANAYEJIONA KUWA HANA DHAMBI NA AWE WA KWANZA KURUSHA JIWE KWA HUYU MWANAMKE...."; " ....USIHUKUMU USIJE UKAHUKUMIWA...";
KWA MTAZAMO WANGU BADO KUNA DOSARI KATIKA TAMKO ILI AU LABDA KAMA MLETA MADA HAJAIWEKA KAMA ILIVYO TANGAZWA.
Soma vizuri, nimetumia 'invent' na pia nimesema genda zote!..tafakari!
Nahisi hii mada ni mtambuka..aliyeileta angeidetail zaidi na kuweka wazi vipengele vyote ikiwemo 'maungamo/kitubio'Wewe upo vizuri hakuna shaka; hofu kwa hilo tamko ambalo limetaja mwanamke tu. je, na sisi wanaume tunaruhusiwa endapo tuna mtoto????
Au mleta mada amelinukuu tamko vibaya???
Kanisa lapiga marufuku ndoa wanawake waliozaa.
Kanisa la kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), limepiga marufuku kuanzia sasa ufungishaji ndoa madhabahuni kwa wanawake waliozaa.
Aidha kanisa hilo ambalo ni moja ya makanisa mawili makubwa zaidi Nchini limepiga marufuku pia wanawake wenye ujauzito kufunga ndoa madhabahuni kwa maelezo kwamba kufanya hivyo ni kukiuka maandiko ya Mungu.
Kutokana na uamuzi huo wa Kanisa, kuanzia sasa wanawake wenye sifa hizo hawataruhusiwa kukaa mbele madhabahuni na kufunga ndoa wakiwa wamevaa shela.
Badala yake, imeelezwa ndoa zinazohusu maharusi wanawake wa namna hiyo zitafungwa katikati ya ibada ya kawaida Wakiwa wamekaa na waumini wengine.
Imekuwa kawaida sasa kuona wanawake wenye ujauzito au walishazaa watoto baada ya kuishi na wanaume kinyumba au wakiwa wajawazito wakifunga ndoa madhabahuni.
Kwa mujibu wa tangazo wa tangazo lililosomwa kwenye sharika mbalimbali za KKKT hivi karibuni ni marufuku Wachungaji kufungisha ndoa za aina hiyo.
Kuna thread nlisoma jana inasema ni KKKTkanisa gani hilo? Nipashe nao wamekuwa kama ya udaku, wanaandika title kuvuta attention ununue kisha ndani unakuta ni kanisa ambalo hapa Tanzania halipo!
Nikuhurumia hiyo unayoona ndio busara zako ni upumbavu mbele.Neno linasema hekima ya mwanadamu ni upumbafu mbele za Mungu.sio kudanganyana, nimetaka kuonyesha tu thinking capacity yao ilivyo ndogo kwa ku base kwenye mambo yanayoonekana kwa macho na kusahau yasioonekana kwa macho ya kibinadamu
Nikusaidie kitu kimoja kama unaona kuna sehemu wapo unaoita makanjanja Mimi na wewe ndio tunajukumu LA kuifundisha Kweli.Hao wachache kwa uchache wao hata hawajulikani...i was devoted Christian tokea utotoni ila kadiri nilivyozidi kukua kiumri na kujua reality ya kinachofanyika na hawa viongozi wa kiroho kwa kivuli cha kanisa basi nikakataa kuwa mnafiki...
Kueneza dini siku hizi ni kazi kama kazi zingine...hatukuitwa wote kuifanya kazi hiyo!Nikusaidie kitu kimoja kama unaona kuna sehemu wapo unaoita makanjanja Mimi na wewe ndio tunajukumu LA kuifundisha Kweli.
Neno linasema enendeni duniani mkawafanye kuwa wanafunzi wangu na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi.
Hii ndio kazi yetu kaka usikwepe hilo
Ha ha.....unapiga mimba, akijifungua unaenda kumaliza kimya kimyaKama naona wasiotaka complications watakavyofanya kusudi.
Mkuu hujalazimishwa waweza kwenda "bomani" hakuna tabu kabisa.Makanisa mengine na yenyewe ni wanga tu.
Kama watu walipendana hadi kufikia hatua ya kuzaa pamoja, kanisa linawakatalia nini?
Ndio maana huwa nafikiri dini si muhimu kwa maisha ya watu.
Kwani wewe unadhani kueneza mpaka uwe Mch. ? Hata katika eneo lako la kazi matendo yako tu yatawaponya wengine na kumtukuza Mungu alie hai.Kueneza dini siku hizi ni kazi kama kazi zingine...hatukuitwa wote kuifanya kazi hiyo!
Piga chini huyo fasta atakuja kukuzingua!!!huu uzi unanichanganya kweli nimegundua kuwa mchumba wangu ni mama wa mtoto mmoja yeye na familia yake wakati nachumbia hawakuniambia kuwa mwenzangu anamtoto afu bimkubwa wangu ndo kajua ukweli kabla yangu
Kwa mjane ndiyo rahisi zaidi, ndoa inabarikiwa tu, kwa sababu tayari alishakuwa na ndoa ila mwenza kafariki...
Hiyo ipo kitambo. Kanisa Katoliki linafundisha usafi wa moyo hadi ndoa.
Iwapo kumetokea watoto au mimba, waumini hutakiwa kubariki ndoa yao waliyoianza kwa kukutana kimwili.
Kwa utaratibu ndoa hukamilishwa na mambo mawili. Misa ya Ndoa na Tendo la Ndoa. Hapo hiyo huitea ndoa Takatifu. Kikosekanapo kimojapo hiyo ni ndoa batili.