Heloo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,391
- 3,402
mi mmojawao...yaani sijui mtoa mada kaigunduaje hii!
Ngoja niseme kitu huwa inatokea maranyingi labda pale ulipokuwa na mtu mliokuwa mnapendana ikatokea hitilafu mkaachana....sasa athari mara nyingi huwa kwa upande wa mwanamke umri pengine umeenda pengine unaitaji mtoto...anatokea mtu humpendi toka moyoni kama anavyokupenda yeye....mnaanzisha mahusiano ilimradi liende ukipata chance ya kuwa mbALI NAE EITHER kimasomo au kikazi ni rahisi kumsaliti kwa kuwa you dont feel him!!
That it fact!....na ipo sana si uhuni ila ni kwamba hisia kwa yule hakuna na unakuja kumpata unayempenda....kwa kweli ni tatizo kubwa...pengine iundiwe TUME!
Ngoja niseme kitu huwa inatokea maranyingi labda pale ulipokuwa na mtu mliokuwa mnapendana ikatokea hitilafu mkaachana....sasa athari mara nyingi huwa kwa upande wa mwanamke umri pengine umeenda pengine unaitaji mtoto...anatokea mtu humpendi toka moyoni kama anavyokupenda yeye....mnaanzisha mahusiano ilimradi liende ukipata chance ya kuwa mbALI NAE EITHER kimasomo au kikazi ni rahisi kumsaliti kwa kuwa you dont feel him!!
That it fact!....na ipo sana si uhuni ila ni kwamba hisia kwa yule hakuna na unakuja kumpata unayempenda....kwa kweli ni tatizo kubwa...pengine iundiwe TUME!