Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,126
TO ME I HAVE A 360 degree angle view.
HAPA UKWELI NI KWAMBA SI KWELI KWAMBA WAPENZI WALIOKO NYUMBANI NDIO WANAPOTEZA AMA WANAACHWA.
wapo wa chuoni waliodanganywa na mwisho wakaambiwa ukweli kuwa
"nina mpenzi wangu ndiye niliyepanga kumuoa ama kuolewa nae"
hata mapenzi ya wanavyuo vyuoni huwa yanaisha ghafla mara tu baada ya chuo kisa mdada alikuwa na mtu wake mtaani ama mkaka alikuwa na msichana wake mtaani.
KIFUPI MBELE YA ATTRACTIVE FACTORS YOU ARE LIKELY TO LOSE YOUR GIRL OR BOY BILA KUJALI NI MTAANI,CHUONI AMA KAZINI.
EVERY BOBY MUST BE PREPARED IN CASE. Hata wenye ndoa nao wajiandae kisaikolojia. NA MWISHO ITS JUST NORMAL MAANA HAYA MAMBO NDO YAPO KILA KONA.
HAPA UKWELI NI KWAMBA SI KWELI KWAMBA WAPENZI WALIOKO NYUMBANI NDIO WANAPOTEZA AMA WANAACHWA.
wapo wa chuoni waliodanganywa na mwisho wakaambiwa ukweli kuwa
"nina mpenzi wangu ndiye niliyepanga kumuoa ama kuolewa nae"
hata mapenzi ya wanavyuo vyuoni huwa yanaisha ghafla mara tu baada ya chuo kisa mdada alikuwa na mtu wake mtaani ama mkaka alikuwa na msichana wake mtaani.
KIFUPI MBELE YA ATTRACTIVE FACTORS YOU ARE LIKELY TO LOSE YOUR GIRL OR BOY BILA KUJALI NI MTAANI,CHUONI AMA KAZINI.
EVERY BOBY MUST BE PREPARED IN CASE. Hata wenye ndoa nao wajiandae kisaikolojia. NA MWISHO ITS JUST NORMAL MAANA HAYA MAMBO NDO YAPO KILA KONA.