Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Eti jaman,nyie hawa mabinti mnawezaje kuwahandle?maana mie huyu kipoozeo wangu hata simuelewi,kitu kdogo kananuna cku nzima,mkiongea hvi leo,kesho kamechange,yan kila kitu kwake ye kiko zigzag!!ebu nipen maujanja kidogo,maana leo nimeudhka hadi nikatamani kukalamba makofi..