Wenye Uthubutu wa kushughulikia Wezi wa taifa hili ni UPINZANI pekee!

Nalisema hili kwa sababu Wapinzani hawataona taabu kubadili katiba, hawataona taabu kumwajibisha mwizi ambaye sio sehemu yao, watataka waseme ukweli wa kike wanachokitenda. Hawatataka kupoteza tena kupoteza nafasi zao za kuwaongoza wananchi.

Kupitia hili, ndio maana utafiti wa TWAWEZA unabainisha kua werevu na wasomi wenye elimu kubwa ndio wanapenda zaidi na kuelewa upinzani, Wasiokua na elimu na Wazee ndio wanaipenda na kuielewa zaidi CCM.

Sina neno zaidi!
Hivi Mbowe ni msomi naye!?Asante twaweza
 
Take home message kutoka kwa WAPINZANI WA TZ kwa kipindi cha miezi 18 ilyopita
1) Walichochea na Walishangilia TZ kupigwa Burn MCC funds
2) Walikuwa Mstari wa Mbele Kutetea wauza na watumiaji madawa
3)Wamekuwa Mstari wa Mbele Kusambaza lugha HASI Nchi ina njaa na kuhamasisha UVIVU na OMBA OMBA
4)Wamekuwa Mstari wa Mbele Kutetea watu wenye vyeti feki
5) Mstari wa Mbele KUPAMBANA NA POLISI
6) KESI ZOTE ambazo serikali inawashughulikia WAHUJUMU ...Mawakili ambao ni MAKADA wa UPINZANI ndio ULAJI WAO
7) WATETEZI WAKUBWA wa ACCACIA

Na mengineyo.....

Inaonekana wewe ni mlaji mzuri wa PROPAGANDA ZA CCM na SERIKALI YAKE. hebu tuangalie hoja zako:
1) suala la MCC funds.
hapa tunaongelea kitu ambacho kilifanya wenye fedha hizi wazizuie. Walikuwa wanalalamikia matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar, ambapo CCM ilipora ushindi wa CUF na kufuta matokeo yale. pia walikuwa wanapinga sheria ya mtandao iliyopitishwa ili kuwadhibiti wakosoaji wa CCM na serikali yake. mwanademokrasia yeyote wa kweli na mpenda haki hawezi kuacha kuunga mkono hatua hiyo, hata kama inatuumiza sisi pia. lakini wanaotuumiza siyo MCC, bali ni CCM.

2) Suala la madawa ya kulevya.
Kampeni hewa ya Makonda ilihitimishwa kwa yeye kuvamia studio za Clouds na leo anatumikia adhabu ya kukataliwa na vyombo vingi vya habari. kinachopingwa siyo kampeni dhidi ya madawa ya kulevya, bali propaganda za CCM zilizokuwa zinaunganishwa humo. CCM wanashindwa kufanya siasa za ushindani, ndio maana wanapiga marufuku mikutano ya vyama vya hasa vya upinzani. maana mwenyekiti wa CCM anaendelea kufanya mikutano atakavyo tena Mubashara. wanapigana na wapinzani ambao wamefungwa mikono, lakini bado wanabamizwa tu vilevile. hebu angalia, Kampeni ya kukusanya kodi za majengo, ni Mbowe tu aliyetimuliwa kwenye jengo la Bilicanas. akatajwa kwenye madawa ya kulevya, bila ushahidi wowote, na sasa anashughulikiwa kwa kuendesha bustani ya mboga kwa tekinolojia ya kisasa. ubabaishaji wa aina hii lazima upingwe kwa nguvu zote na wapenda demokrasia wote

3) Nchi kuwa na njaa.
Magu mwenyewe alijisahau akataja Njaa kama moja ya majanga yanayowakabili watanzania, wakati anapokea ripoti ya kamati ya Profesa Osoro. Njaa ipo, ila inafichwa na propaganda. wanaoumia ni wananchi.

4) Vyeti Feki
Hili nalo limefunikwa mno na Propaganda na ufinyu wa fikra. kwa mfano, unamwondoa kazini mtu aliyebobea kwenye sekta fulani, mfano Daktari bingwa wa upasuaji, kisa wakati akiwa form 4 kulikuwa na mushkeli huu au ule. la msingi ni kwamba mfumo wa wakati ule ulilea hali kama hizi. tunatakiwa tufike mahali tuwe na pa kuanzia. Daktari huyu hana ufeki wowote katika fani yake. taifa limetumia mamilioni kumsomesha, na ameshaokoa maisha ya watu wengi tu. kilichotakiwa pale ni kuweka mfumo ambao haitawezekana tena matatizo haya kutokea mbeleni. ufinyu wa fikra namna hii lazima upingwe kwa nguvu zote na wenye akili

5) Kazi za Jeshi ka Polisi
Polisi inapofanya kazi zake kwa weledi, hakuna tatizo. tatizo linakuja pale Polisi inapotumiwa na wanasiasa. hapo lazima kutakuwa na tatizo na hilo pia lazima lilaaniwe na kupingwa na wapenda haki

6) Kesi mbalimbali
sheria yetu inasema mtu hana hatia mpaka pale mahakama itakapomtia hatiani. na pia ni haki ya kikatiba mtu kupata utetezi, na serikali ina utaratibu wa kutoa mawakili ili kuwatetea watu ambao hawana uwezo. tatizo liko wapi? au ufinyu wa mawazo na kuvimbiwa PROPAGANDA ZA CCM?

7) ACACIA
Wapinzani wamekuwa wapingaji wakubwa wa wizi na uporaji wa mali asili zetu yakiwemo madini. hapa sisemi sana, lakini msikilize mwanaccm mwenzio, Hussein Bashe, pale alipooneshwa kukunwa na uchapakazi wa Tundu Lissu. nadhani huyo utamwelewa na kumwamini kwa sababu ni mwanaccm
 
Tuanze na red: Uko sahihi kabisa, Chadema wamebadili Katiba na sasa wana mwenyekiti wa maisha (Demokrasia ya kweli?)
Kwenye blue: Kwa kuwapa hifadhi wezi?
Kwenye purple: Chadema 17% au hukusoma vizuri report ya TWAWEZA?
kwa kungezea tu ni kwamba 17% ni F.
 
Inaonekana wewe ni mlaji mzuri wa PROPAGANDA ZA CCM na SERIKALI YAKE. hebu tuangalie hoja zako:
1) suala la MCC funds.
hapa tunaongelea kitu ambacho kilifanya wenye fedha hizi wazizuie. Walikuwa wanalalamikia matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar, ambapo CCM ilipora ushindi wa CUF na kufuta matokeo yale. pia walikuwa wanapinga sheria ya mtandao iliyopitishwa ili kuwadhibiti wakosoaji wa CCM na serikali yake. mwanademokrasia yeyote wa kweli na mpenda haki hawezi kuacha kuunga mkono hatua hiyo, hata kama inatuumiza sisi pia. lakini wanaotuumiza siyo MCC, bali ni CCM.

2) Suala la madawa ya kulevya.
Kampeni hewa ya Makonda ilihitimishwa kwa yeye kuvamia studio za Clouds na leo anatumikia adhabu ya kukataliwa na vyombo vingi vya habari. kinachopingwa siyo kampeni dhidi ya madawa ya kulevya, bali propaganda za CCM zilizokuwa zinaunganishwa humo. CCM wanashindwa kufanya siasa za ushindani, ndio maana wanapiga marufuku mikutano ya vyama vya hasa vya upinzani. maana mwenyekiti wa CCM anaendelea kufanya mikutano atakavyo tena Mubashara. wanapigana na wapinzani ambao wamefungwa mikono, lakini bado wanabamizwa tu vilevile. hebu angalia, Kampeni ya kukusanya kodi za majengo, ni Mbowe tu aliyetimuliwa kwenye jengo la Bilicanas. akatajwa kwenye madawa ya kulevya, bila ushahidi wowote, na sasa anashughulikiwa kwa kuendesha bustani ya mboga kwa tekinolojia ya kisasa. ubabaishaji wa aina hii lazima upingwe kwa nguvu zote na wapenda demokrasia wote

3) Nchi kuwa na njaa.
Magu mwenyewe alijisahau akataja Njaa kama moja ya majanga yanayowakabili watanzania, wakati anapokea ripoti ya kamati ya Profesa Osoro. Njaa ipo, ila inafichwa na propaganda. wanaoumia ni wananchi.

4) Vyeti Feki
Hili nalo limefunikwa mno na Propaganda na ufinyu wa fikra. kwa mfano, unamwondoa kazini mtu aliyebobea kwenye sekta fulani, mfano Daktari bingwa wa upasuaji, kisa wakati akiwa form 4 kulikuwa na mushkeli huu au ule. la msingi ni kwamba mfumo wa wakati ule ulilea hali kama hizi. tunatakiwa tufike mahali tuwe na pa kuanzia. Daktari huyu hana ufeki wowote katika fani yake. taifa limetumia mamilioni kumsomesha, na ameshaokoa maisha ya watu wengi tu. kilichotakiwa pale ni kuweka mfumo ambao haitawezekana tena matatizo haya kutokea mbeleni. ufinyu wa fikra namna hii lazima upingwe kwa nguvu zote na wenye akili

5) Kazi za Jeshi ka Polisi
Polisi inapofanya kazi zake kwa weledi, hakuna tatizo. tatizo linakuja pale Polisi inapotumiwa na wanasiasa. hapo lazima kutakuwa na tatizo na hilo pia lazima lilaaniwe na kupingwa na wapenda haki

6) Kesi mbalimbali
sheria yetu inasema mtu hana hatia mpaka pale mahakama itakapomtia hatiani. na pia ni haki ya kikatiba mtu kupata utetezi, na serikali ina utaratibu wa kutoa mawakili ili kuwatetea watu ambao hawana uwezo. tatizo liko wapi? au ufinyu wa mawazo na kuvimbiwa PROPAGANDA ZA CCM?

7) ACACIA
Wapinzani wamekuwa wapingaji wakubwa wa wizi na uporaji wa mali asili zetu yakiwemo madini. hapa sisemi sana, lakini msikilize mwanaccm mwenzio, Hussein Bashe, pale alipooneshwa kukunwa na uchapakazi wa Tundu Lissu. nadhani huyo utamwelewa na kumwamini kwa sababu ni mwanaccm
Unazidi kuthibitisha JINSI CHADEMA WALIVYOKWENDA HALI JOJO.... baada ya miaka 2 sijui mtakuwa mmefikia hatua gani... Kwani kila siku hali yenu inazidi kuwa mbaya
 
Tuanze na red: Uko sahihi kabisa, Chadema wamebadili Katiba na sasa wana mwenyekiti wa maisha (Demokrasia ya kweli?)
Kwenye blue: Kwa kuwapa hifadhi wezi?
Kwenye purple: Chadema 17% au hukusoma vizuri report ya TWAWEZA?
Sasa katiba ya chadema ndio katiba ya nchi? Nauliza tu! Ni Bora ukajikita kwenye mada au uzi uliopo jamvini!
 
umefulia, hata hoja ya thumni huna?
UKIWA mmekuwa WEPESI SANA.... news za leo ...LUWASSA Ampongeza kwa Ujasiri MAGU.... Maalimu Ampongeza MAGU kwa hatua anazochukua.... Miezi 20 iliyopita mlikuwa mnaazunguumza lugha za UKUTA...kuikwamisha serikali isitawalike.... Balaa la Njaa.... Mtabadilika TU.... TARATIBU MTAMUELEWA Mr NGOSHA...
 
Back
Top Bottom