Kwahiyo kama riba ni 4% p.a.mkuu riba yetu ni 4% ni nafuu sana
angalia vizuri tangazo kujua vigezo na masharti ya mkopo, mikopo yetu niya haraka sana
Tuambie hiyo 4% ya riba ni kwa mwaka au ni kwa mwezi. Pia huwa mnatumia Reducing au Fixed Method kukokotoa riba?mkuu riba yetu ni 4% ni nafuu sana
bayport ni janga alafu wana tangazo lao la ''kopa kwa sababu maalum"Hebu wekeni riba zenu wazi isije ikawa beipoti no.2
Ngoja niwasaidie wengine wasio na taaluma ya finance,mkuu riba yetu ni 4% ni nafuu sana
Huyu jamaa anazingua Sana, hatoi majibu ya kujitisheleza, hawa ndio wale wale, kuliko kuingia mkenge wa chapchap ndani ya 24 hrs bora uende bank. Anashindwaje kuweka hapa mchanganuo wa hiyo riba. Mfano nataka 10 Mil kwa miaka miwili ,toa mchanganuo hapa wa monthly installment .Ngoja niwasaidie wengine wasio na taaluma ya finance,
Hii 4% ya riba ni hufanyika hesabu ya instalment(mwezi) ama ni ya lampsum amount mteja anayokopa?
Nawatahadharisha wahitaji mkopo muwe makini kwani sijui labda kwa TIB lakini sijawahi sikia taasisi yenye riba ndogo kiasi hicho.Ni vema akaeleza namna wanavyoikokotoa riba yao
Sisi tusio watumishi wa serikali inakuwaje? Hao wa serikali wapo miguu ndani miguu nje shauri yenuriba zetu tumezishusha mahesabu yako kwa riba tunafanya 1.6% kwa mwezi, 19% kwa mwaka, hii ni kwa watumishi wa serikali, karibuni sana , easy money